Kambi ya Lowassa yachanganyikiwa

Kambi ya Lowassa yachanganyikiwa

kama E L hato gombea nchi itatikisika. Haya nenda kamwambie huyo alie kutuma kuwa, WAMEANZA KUMPIGIA KURA LOWASSA ILI HALI UCHAGUZI BADO!!! .
 
Nilichokigundua ukawa na wafuasi wake wanamuogopa sana EL kabla hata hajatangaza nia, maana hali halisi wanaijua EL hana mpinzani kama ataamua kugombea.
 
Naona lowassa ameanza kuwapumulia wapinzani wake kisogoni,MBNA Hilo bado hata jk uzuri mmoja anaufaham mziki WA lowassa
 
Nilichokigundua ukawa na wafuasi wake wanamuogopa sana EL kabla hata hajatangaza nia, maana hali halisi wanaijua EL hana mpinzani kama ataamua kugombea.

Mkuu siyo ukawa Ni ccm,lowassa hapo aliko wapinzani wake wanapata tabu SNA ndani ya ccm hawalali usingizi membe ndio anaye anayaandaa uzushi huu,anamtegemea mama salma amsaidie kwenye mbio
 
Mkuu siyo ukawa Ni ccm,lowassa hapo aliko wapinzani wake wanapata tabu SNA ndani ya ccm hawalali usingizi membe ndio anaye anayaandaa uzushi huu,anamtegemea mama salma amsaidie kwenye mbio

Mkuu Membe nae anamatumaini kabisa ya kuongoza nchi hii.?
Itakuwa kichekesho rais wetu 2015-2025 ni EL cha msingi tumuombe agombee tu.
 
Huu ni utumikaji mbaya lazima ifike mahali uangalie unachotumwa utaeleweka au unashusha tu heshima yako,huitaji nguvu kubwa sana kumsemea EL kwa Tanzania ya sasa sio kwa watoto,vijana hadi wazee.EL ni tsunami haikwepeki ni suala la muda tu wenzako wenye akili timamu wameshagundua hili tayari.
 
Lowasa ndo raisi mtarajiwa wa monduli
 
Baba yako ache kufa kwa pressure kwa kusalitiwa na mama yako lowassa ndio afe kwa pressure unaota kweli

Endeleeni kujazia maiti damu Lowasa mwambieni ni ikulu hakuna wodi ya wagonjwa
 
Baba yako ache kufa kwa pressure kwa kusalitiwa na mama yako lowassa ndio afe kwa pressure unaota kweli

Muulize vizuri mama yako kama ww ni mtoto wa Huyo unaemuita baba yako wa damu, siri zote mm ninazo na mama yako enzi zake was marvelous on bed😛
 
Back
Top Bottom