Nnangale
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 2,661
- 1,384
ARUSHA na mikoa yote iliyopo juu ya RELI bado wanamkubali huyu Bwana.Hata kwenye jirani ya Kenya anakubalika sana na kabila la Wamasaai.Uwezekano bado ni mkbwa saana wa EL kuteuliwa na chama.
acha uongo jamaa ni mwizi kama chenge hakuna cha kuondoa umaskini wala nini, kapewa u pm akapiga richmond akipata urais nchi imekwisha, mm niko mkoa ulioko juu ya reli lakini unalolisema halipo.