Kambi ya Lowassa yachanganyikiwa

Kambi ya Lowassa yachanganyikiwa

Mateja wapo ccm ndo maana mwenyekiti wenu wa ccm alimsadie Rays matibabu bure akawaache mateja wengine kama wewe na wote wanaomtetea mbunge wa monduli.

CCM na kambi ya EL iko imala na sioni kuongozi yoyote zaidi yake, hatutaki kuongozi ana nyumba ulaya na dubai lakini chama kimepanga miaka 33 sasa.
 
.Washambulia kila anayetajwa kwenye urais
.Magazeti ya Mtanzania, Rai yapewa maagizo maalum

KAMBI ya mbunge wa Monduli Edward Ngoyai Lowassa, imeanza kutetereka na tayari hofu ya mgombea wao kupitishwa na vikao vyenye maamuzi ndani ya CCM imetanda.

Inaelezwa, nafasi ya Lowassa kupenya na kuteuliwa katika kinyang’anyiro cha urais kwenye uchaguzi mkuu ujao, ni finyu ukiachilia mbali udhaifu wa afya yake, sifa zinazotajwa kwa mgombea anayehitajika nazo zinamkwaza.

Taarifa kutoka ndani ya kambi hiyo, zinasema kutajwa kwa Waziri wa Miundombinu, John Magufuli, Jaji mstaafu Agustino Ramadhani, kumemtisha Waziri Mkuu huyo aliyejiuzulu kwa kashfa ya RICHMOND na kukwamisha zoezi lake la kutangaza nia ya urais kama ilivyoelezwa kwamba angefanya hivyo 19, Februari.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Arusha, baadhi ya watu wanaomuunga mkono mbunge huyo wa Monduli wakiwemo baadhi ya vijana wa CCM, tayari waliingia mjini Arusha kuanzia 18 Februari kwa ajili ya kuhudhuria zoezi hilo lililotarajiwa kufanyika kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

“Kusema ukweli hali ni mbaya, mzee ameanza kukata tamaa ya urais kutokana na watu wanaotajwatajwa, kuwa na sifa zinazohitajika na chama ikiwemo uadilifu, sasa mzee wetu hana hiyo sifa na inajulikana hilo kwa watanzania wote”

“Ndio maana kuna ukimya fulani, hata kwenye mitandao wengine tumeanza kupunguza mashambulizi maana hali haieleweki kamanda na unaweza kumtukana mtu kumbe ndiye rais ajaye halafu ikawa tabu” alisema kijana mmoja kutoka mkoani Mara, ambaye amekuwa akijitambulisha kuwa ni mmoja wa wasuka mipango wa kambi hiyo.

Kijana huyo ambaye mara zote amekuwa akijitambulisha kuwa ni Mkuu wa Wilaya mtarajiwa wa wilaya moja Mkoani Mtwara kwenye serikali ya Lowassa, hivisasa anadaiwa kutafuta ukaribu na makada wengine wa CCM wanaotajwa kwenye mbio za urais.

Taarifa zaidi zinasema, katika kuhakikisha Lowassa anabaki kwenye chati ya urais, msemaji wake Hussein Bashe ambaye anaonekana kupambana kuhakikisha anaokoa jahazi, ametoa maagizo kwa gazeti la Mtanzania na Rai, linalomilikiwa na Rostam Aziz, kuhakikisha waandishi na wahariri wa gazeti hilo wanashambulia watu wanaowadhani ni kikwazo kwa mgombea wake (Lowassa).

Inaelezwa waandishi wanaopeleka habari zinazomsaidia Lowassa, mbali na mshahara wanaolipwa, wameongezewa posho kwa ajili ya kazi hiyo, hivyo imewapa hamasa waandishi wengi kutafuta habari za watu hao na wakati mwingine wamekuwa wakitengeneza habari za uongo ili wapate chochote.

“Bashe ametoa maelekezo kwamba, tumpiganie bwana mkubwa maana hali imeanza kuwa mbaya, anasema mabosi wake wamempa maagizo ya kuhakikisha kila anayeonekana kikwazo kwenye harakati zao, ashambuliwe na kila anayefanya kazi hiyo aongezewe maslahi” alisema mmoja waandishi ambaye pia ni kiongozi wa CCM anayedaiwa kuwa njiani kuhamia kwenye kambi ya mbunge wa Mtama, Bernard Membe anayetajwa kwenye mbio za urais.

Mwandishi huyo alisema, tayari gazeti hilo limemshambulia Jaji Agustino Ramadhani siku chache baada ya kutajwa kuwa miongoni mwa warithi wa Rais Kikwete, mwingine ni John Magufuli na mara kadhaa wamekuwa wakiandika habari mbaya juu ya Waziri Membe.

Inaelezwa, hata chanzo cha Lowassa kushindwa kuhudhuria msiba wa mama wa Jaji Ramadhani, ni kukwepa aibu baada ya gazeti hilo kumshambulia jaji huyo mstaafu na minong’ono msibani hapo ikadai yalikuwa ni maelekezo ya Lowassa.

“Maagizo yaliyotolewa hivisasa ni kumshambulia Prof. Muhongo na kuna mwandishi anaitwa Evans amepewa kazi maalum ya kuhakikisha anapata taarifa za Muhongo baada ya akina Bashe kudhani pengine anaweza kujitosa kwenye urais”

Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa habari hizi umebaini tayari kambi hiyo ya Lowassa imeishiwa mbinu za kumsaidia mgombea wao kupenya kwenye kinyang’anyiro cha urais, na kazi iliyobakia ni kufanya vurugu na kushambulia makada wa chama hicho wanaotajwa kwenye urais.

Hivi karibuni, kambi hiyo imepata pigo kubwa kufuatia kukanushwa kwa kila taarifa ambazo zinasambazwa na vyombo vya habari kwa lengo la kumjenga Lowassa, ambapo habari iliyokanushwa kwa nguvu kubwa ni madai ya wabunge 150, kumuunga mkono mbunge huyo wa Monduli.

Habari nyingine ni ile iliyodai wanachuo wa IFM kumuunga mkono Lowassa, madai ambayo yamekanushwa na serikali ya wanafunzi wa chuo hicho.

Inaelezwa, watu wanaohusika na masuala ya kusuka propaganda ndani ya kambi hiyo, wamekuwa na uwezo mdogo wa kufanya kazi hiyo na kujikuta wakimpotosha Lowassa kwa taarifa za uongo ili waendelee kulipwa mishahara minono wanayolipwa, na badala ya kumsaidia, wanammaliza.

“Hawa jamaa akina Hemed (Hemed Ally) na wenzake wameshindwa kazi kabisa, wanasambaza propaganda za kitoto kabisa wanadai eti kuna wabunge 150 wanamuunga mkono Lowassa wakati ukweli ni wabunge 15 tu na wengine wameshamkana, huu ni utoto, tatizo wanalipwa hela nyingi sana, sasa hawataki kuzipoteza ndio maana wanatunga hata uongo ili waonekane wanafanyakazi” alisema kada wa CCM ambaye alizungumza na mwandishi wa habari hizi jirani na ofisi ndogo za CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.

Hata hivyo, kwa upande mwingine baadhi ya wapambe wa Bashe, ambao bado wanaamini Lowassa anaweza kuwa rais, wamekuwa wakijigamba kwamba hakuna ‘mpuuzi’ yeyote anayeweza kukata jina la Lowassa na wamekuwa wakitoa matusi ya nguoni dhidi ya Rais Jakaya Kikwete na familia yake.

Aidha, wapambe hao wamekuwa wakitishia baadhi ya watu wanaomshambulia Lowassa.

Chanzo: ...
Paka shume
 
Shida yako shule...mgonjwa anaonekana hata kwa macho tu hasa mtu anayemfahamu kwa muda mrefu
 
Lowassa ni mpango mzima anayemsema anasema bure tu kwani maandalizi yote yamekamilika na kipindi hiki kweli ccm iko kazi kwa jina la Raisi ila wakimsimamisha Lowassa ccm itapita
 
We unaesema Lawasa anaumwa kamwambie mama yako,kama kuna mtu kakutuma ashindwe na alegeeeee tena ikiwezekana afe kabisa manake akilegea atainuka,mbona mzee wa tezi dume utangazi kama mgonjwa,kafie mbele mwanga wa mchana wee.
 
KUNA MAKUNDI MATATU YA WATU WANAOMSEMEA LOWASSA NA KUTAKA KUTUAMINISHA KWAMBA NI MTU MWENYE SIFA NZURI ZA HADI KUPEWA URAIS.

1. Kundi la watu amabao kwa kupitia mitandao aliyojiwekea huyu Bwana Edward wanamwagiwa pesa ili kuendelea kumpigia kampeni. Na hili huyu Bwana ameliweza sana maana ukweli ni kwamba pesa anayo. Kundi hili ni la waganga njaa, wachumia tumbo na walafi wasio na aibu.

2. Kuna kundi la watu ambao wanajiwekea matumaini kuwa huyu Bwana Edward akipita basi na wao watakumbukwa katika ufalme wake na kupata nafasi za kujinufaisha kwenye huo mfumo atakao weka wa uongozi. Huyu Bwana Edward hasiti kuwaambia hao watu, 'fanyeni kazi maana siku ikifika nanyi muingie huku kunako starehe za utawala.' Kundi hili ni la wabinafsi, wenye tamaa, na uchu uliojaa usongo kiasi kwamba hata ukweli wanaoujua kuhusu huyu Edward hawako tayari kuukubali.

3. Kundi la tatu ni la watu ambao kwa nafasi zao mbalimbali na hasa za uongozi wanalazimika kusema mara moja moja kuhusu Lowasa. Mara utasikia kiongozi huyu amemmwagia sifa Edward, mara mwingine atasema Edward ni chaguo la wengi na hata Mama mmoja kiongozi wa juu aliwahi kusema "Hakuna mwanamume kama Lowassa! "Hili ni kundi la wanafiki, na ndilo kundi baya kuliko mengine. Wengine kundini humu wanasema ya kumsifia Edward kama vile kumpooza kwa masaibu yaliyomkuta - haswa kufukuzwa uwaziri mkuu, lakini wengine ni kwa sababu tu ya kubalance mambo ya kisiasa kwenye Chama!

Makundi yote hayo ni ya watu walioingiwa na upofu, na mtindio wa mawazo kiasi kwamba hawaoni kwamba wanataka kuliuza taifa hili kwa tamaa zao, na bila hata haya wala soni, wakiendekeza mapungufu yao ya tamaa, unafiki, na ulafi usio na mfano.

Sijui sura zao watakuja zificha wapi siku uhaini wao huu ukituingiza kwenye matatizo kama taifa ikija tokea huko mbele!
 
KUNA MAKUNDI MATATU YA WATU WANAOMSEMEA LOWASSA NA KUTAKA KUTUAMINISHA KWAMBA NI MTU MWENYE SIFA NZURI ZA HADI KUPEWA URAIS.

1. Kundi la watu amabao kwa kupitia mitandao aliyojiwekea huyu Bwana Edward wanamwagiwa pesa ili kuendelea kumpigia kampeni. Na hili huyu Bwana ameliweza sana maana ukweli ni kwamba pesa anayo. Kundi hili ni la waganga njaa, wachumia tumbo na walafi wasio na aibu.

2. Kuna kundi la watu ambao wanajiwekea matumaini kuwa huyu Bwana Edward akipita basi na wao watakumbukwa katika ufalme wake na kupata nafasi za kujinufaisha kwenye huo mfumo atakao weka wa uongozi. Huyu Bwana Edward hasiti kuwaambia hao watu, 'fanyeni kazi maana siku ikifika nanyi muingie huku kunako starehe za utawala.' Kundi hili ni la wabinafsi, wenye tamaa, na uchu uliojaa usongo kiasi kwamba hata ukweli wanaoujua kuhusu huyu Edward hawako tayari kuukubali.

3. Kundi la tatu ni la watu ambao kwa nafasi zao mbalimbali na hasa za uongozi wanalazimika kusema mara moja moja kuhusu Lowasa. Mara utasikia kiongozi huyu amemmwagia sifa Edward, mara mwingine atasema Edward ni chaguo la wengi na hata Mama mmoja kiongozi wa juu aliwahi kusema "Hakuna mwanamume kama Lowassa! "Hili ni kundi la wanafiki, na ndilo kundi baya kuliko mengine. Wengine kundini humu wanasema ya kumsifia Edward kama vile kumpooza kwa masaibu yaliyomkuta - haswa kufukuzwa uwaziri mkuu, lakini wengine ni kwa sababu tu ya kubalance mambo ya kisiasa kwenye Chama!

Makundi yote hayo ni ya watu walioingiwa na upofu, na mtindio wa mawazo kiasi kwamba hawaoni kwamba wanataka kuliuza taifa hili kwa tamaa zao, na bila hata haya wala soni, wakiendekeza mapungufu yao ya tamaa, unafiki, na ulafi usio na mfano.

Sijui sura zao watakuja zificha wapi siku uhaini wao huu ukituingiza kwenye matatizo kama taifa ikija tokea huko mbele!
Rais wetu ni Lowassa midimu mingne tupa kule....lowasa atawanyma usngz mpaka mpate presha
 
.Washambulia kila anayetajwa kwenye urais
.Magazeti ya Mtanzania, Rai yapewa maagizo maalum

KAMBI ya mbunge wa Monduli Edward Ngoyai Lowassa, imeanza kutetereka na tayari hofu ya mgombea wao kupitishwa na vikao vyenye maamuzi ndani ya CCM imetanda.

Inaelezwa, nafasi ya Lowassa kupenya na kuteuliwa katika kinyang’anyiro cha urais kwenye uchaguzi mkuu ujao, ni finyu ukiachilia mbali udhaifu wa afya yake, sifa zinazotajwa kwa mgombea anayehitajika nazo zinamkwaza.

Taarifa kutoka ndani ya kambi hiyo, zinasema kutajwa kwa Waziri wa Miundombinu, John Magufuli, Jaji mstaafu Agustino Ramadhani, kumemtisha Waziri Mkuu huyo aliyejiuzulu kwa kashfa ya RICHMOND na kukwamisha zoezi lake la kutangaza nia ya urais kama ilivyoelezwa kwamba angefanya hivyo 19, Februari.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Arusha, baadhi ya watu wanaomuunga mkono mbunge huyo wa Monduli wakiwemo baadhi ya vijana wa CCM, tayari waliingia mjini Arusha kuanzia 18 Februari kwa ajili ya kuhudhuria zoezi hilo lililotarajiwa kufanyika kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

“Kusema ukweli hali ni mbaya, mzee ameanza kukata tamaa ya urais kutokana na watu wanaotajwatajwa, kuwa na sifa zinazohitajika na chama ikiwemo uadilifu, sasa mzee wetu hana hiyo sifa na inajulikana hilo kwa watanzania wote”

“Ndio maana kuna ukimya fulani, hata kwenye mitandao wengine tumeanza kupunguza mashambulizi maana hali haieleweki kamanda na unaweza kumtukana mtu kumbe ndiye rais ajaye halafu ikawa tabu” alisema kijana mmoja kutoka mkoani Mara, ambaye amekuwa akijitambulisha kuwa ni mmoja wa wasuka mipango wa kambi hiyo.

Kijana huyo ambaye mara zote amekuwa akijitambulisha kuwa ni Mkuu wa Wilaya mtarajiwa wa wilaya moja Mkoani Mtwara kwenye serikali ya Lowassa, hivisasa anadaiwa kutafuta ukaribu na makada wengine wa CCM wanaotajwa kwenye mbio za urais.

Taarifa zaidi zinasema, katika kuhakikisha Lowassa anabaki kwenye chati ya urais, msemaji wake Hussein Bashe ambaye anaonekana kupambana kuhakikisha anaokoa jahazi, ametoa maagizo kwa gazeti la Mtanzania na Rai, linalomilikiwa na Rostam Aziz, kuhakikisha waandishi na wahariri wa gazeti hilo wanashambulia watu wanaowadhani ni kikwazo kwa mgombea wake (Lowassa).

Inaelezwa waandishi wanaopeleka habari zinazomsaidia Lowassa, mbali na mshahara wanaolipwa, wameongezewa posho kwa ajili ya kazi hiyo, hivyo imewapa hamasa waandishi wengi kutafuta habari za watu hao na wakati mwingine wamekuwa wakitengeneza habari za uongo ili wapate chochote.

“Bashe ametoa maelekezo kwamba, tumpiganie bwana mkubwa maana hali imeanza kuwa mbaya, anasema mabosi wake wamempa maagizo ya kuhakikisha kila anayeonekana kikwazo kwenye harakati zao, ashambuliwe na kila anayefanya kazi hiyo aongezewe maslahi” alisema mmoja waandishi ambaye pia ni kiongozi wa CCM anayedaiwa kuwa njiani kuhamia kwenye kambi ya mbunge wa Mtama, Bernard Membe anayetajwa kwenye mbio za urais.

Mwandishi huyo alisema, tayari gazeti hilo limemshambulia Jaji Agustino Ramadhani siku chache baada ya kutajwa kuwa miongoni mwa warithi wa Rais Kikwete, mwingine ni John Magufuli na mara kadhaa wamekuwa wakiandika habari mbaya juu ya Waziri Membe.

Inaelezwa, hata chanzo cha Lowassa kushindwa kuhudhuria msiba wa mama wa Jaji Ramadhani, ni kukwepa aibu baada ya gazeti hilo kumshambulia jaji huyo mstaafu na minong’ono msibani hapo ikadai yalikuwa ni maelekezo ya Lowassa.

“Maagizo yaliyotolewa hivisasa ni kumshambulia Prof. Muhongo na kuna mwandishi anaitwa Evans amepewa kazi maalum ya kuhakikisha anapata taarifa za Muhongo baada ya akina Bashe kudhani pengine anaweza kujitosa kwenye urais”

Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa habari hizi umebaini tayari kambi hiyo ya Lowassa imeishiwa mbinu za kumsaidia mgombea wao kupenya kwenye kinyang’anyiro cha urais, na kazi iliyobakia ni kufanya vurugu na kushambulia makada wa chama hicho wanaotajwa kwenye urais.

Hivi karibuni, kambi hiyo imepata pigo kubwa kufuatia kukanushwa kwa kila taarifa ambazo zinasambazwa na vyombo vya habari kwa lengo la kumjenga Lowassa, ambapo habari iliyokanushwa kwa nguvu kubwa ni madai ya wabunge 150, kumuunga mkono mbunge huyo wa Monduli.

Habari nyingine ni ile iliyodai wanachuo wa IFM kumuunga mkono Lowassa, madai ambayo yamekanushwa na serikali ya wanafunzi wa chuo hicho.

Inaelezwa, watu wanaohusika na masuala ya kusuka propaganda ndani ya kambi hiyo, wamekuwa na uwezo mdogo wa kufanya kazi hiyo na kujikuta wakimpotosha Lowassa kwa taarifa za uongo ili waendelee kulipwa mishahara minono wanayolipwa, na badala ya kumsaidia, wanammaliza.

“Hawa jamaa akina Hemed (Hemed Ally) na wenzake wameshindwa kazi kabisa, wanasambaza propaganda za kitoto kabisa wanadai eti kuna wabunge 150 wanamuunga mkono Lowassa wakati ukweli ni wabunge 15 tu na wengine wameshamkana, huu ni utoto, tatizo wanalipwa hela nyingi sana, sasa hawataki kuzipoteza ndio maana wanatunga hata uongo ili waonekane wanafanyakazi” alisema kada wa CCM ambaye alizungumza na mwandishi wa habari hizi jirani na ofisi ndogo za CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.

Hata hivyo, kwa upande mwingine baadhi ya wapambe wa Bashe, ambao bado wanaamini Lowassa anaweza kuwa rais, wamekuwa wakijigamba kwamba hakuna ‘mpuuzi’ yeyote anayeweza kukata jina la Lowassa na wamekuwa wakitoa matusi ya nguoni dhidi ya Rais Jakaya Kikwete na familia yake.

Aidha, wapambe hao wamekuwa wakitishia baadhi ya watu wanaomshambulia Lowassa.

Chanzo: ...[/QUOT
Bila shaka kitanda cha baba yako mama yako hakina radhi na wewe.. Kambi ya Lowassa ndio kambi pekee inayojiamini katika chama cha mapinduzi na hata siku moja kambi hii haijawai kuamini katika kushindwa.. Lowassa ndiye rais wa nchi hii 2015-2025
 
Lowassa kuwa Rais wa Tanzania ni sawa na Tanzania kuipa Marekani msaada wa midege ya kivita
 
KUNA MAKUNDI MATATU YA WATU WANAOMSEMEA LOWASSA NA KUTAKA KUTUAMINISHA KWAMBA NI MTU MWENYE SIFA NZURI ZA HADI KUPEWA URAIS.

1. Kundi la watu amabao kwa kupitia mitandao aliyojiwekea huyu Bwana Edward wanamwagiwa pesa ili kuendelea kumpigia kampeni. Na hili huyu Bwana ameliweza sana maana ukweli ni kwamba pesa anayo. Kundi hili ni la waganga njaa, wachumia tumbo na walafi wasio na aibu.

2. Kuna kundi la watu ambao wanajiwekea matumaini kuwa huyu Bwana Edward akipita basi na wao watakumbukwa katika ufalme wake na kupata nafasi za kujinufaisha kwenye huo mfumo atakao weka wa uongozi. Huyu Bwana Edward hasiti kuwaambia hao watu, 'fanyeni kazi maana siku ikifika nanyi muingie huku kunako starehe za utawala.' Kundi hili ni la wabinafsi, wenye tamaa, na uchu uliojaa usongo kiasi kwamba hata ukweli wanaoujua kuhusu huyu Edward hawako tayari kuukubali.

3. Kundi la tatu ni la watu ambao kwa nafasi zao mbalimbali na hasa za uongozi wanalazimika kusema mara moja moja kuhusu Lowasa. Mara utasikia kiongozi huyu amemmwagia sifa Edward, mara mwingine atasema Edward ni chaguo la wengi na hata Mama mmoja kiongozi wa juu aliwahi kusema "Hakuna mwanamume kama Lowassa! "Hili ni kundi la wanafiki, na ndilo kundi baya kuliko mengine. Wengine kundini humu wanasema ya kumsifia Edward kama vile kumpooza kwa masaibu yaliyomkuta - haswa kufukuzwa uwaziri mkuu, lakini wengine ni kwa sababu tu ya kubalance mambo ya kisiasa kwenye Chama!

Makundi yote hayo ni ya watu walioingiwa na upofu, na mtindio wa mawazo kiasi kwamba hawaoni kwamba wanataka kuliuza taifa hili kwa tamaa zao, na bila hata haya wala soni, wakiendekeza mapungufu yao ya tamaa, unafiki, na ulafi usio na mfano.

Sijui sura zao watakuja zificha wapi siku uhaini wao huu ukituingiza kwenye matatizo kama taifa ikija tokea huko mbele!

Umesahau kundi linalomwongoza yeye ama Taifa vibaya ili mbeleni wamlaumu kusababisha Taifa kugawanyika. Ndiyo ni chaguo la wengi, je ni chaguo la Taifa?
 
Lowasa na kambi yake mwaka huu watakufa wenyewe kwa presha .

Mtu ambaye amekula pesa nyingi kisha hafanyi kazi za Lowasa ni Abubari Lyongo huyu Kazi yake ni Kumpiga Lowasa fix na kutafuna mapesa akamwahidi kuwa wanaingia ilkulu kisha atapewa cheo kama cha Salva yaani mkuu idara ya habari ikulu.
 
Back
Top Bottom