Kambi ya Lowassa yachanganyikiwa

Kambi ya Lowassa yachanganyikiwa

Endeleeni kujazia maiti damu Lowasa mwambieni ni ikulu hakuna wodi ya wagonjwa

Ndo madhara ya ndoa za utotoni umeozeshwa bado mdogo sn kutokana na hali ya maisha,subiri mwezi oct utashudia EL akila kiapo kuingoza TZ kwa miaka 5.
 
Kiongozi makini kwenye wizi

Hakuna alichoiba, ni kiongozi shupavu hana woga ndiye kiongozi pekee aliyewaambia wa Misri maji ya ziwa Victoria tutayatumia kama hawajaridhika tukutana International Court of Justice.
 
Nilichokigundua ukawa na wafuasi wake wanamuogopa sana EL kabla hata hajatangaza nia, maana hali halisi wanaijua EL hana mpinzani kama ataamua kugombea.

Lowasa hana ubavu wa kushindana na moto wa. UKAWA hata siku moja mshaurini Lowasa apumzike afya yake ni mbovu sana
 
Noana ianzishwe jukwaa la LOWASSA ili wapambe mrushe mambo yenu huko,maana naona kama mnaandika na kujibizana wenyewe hapa! mara sijui sunami mara hana mpinzani hivi nchi hii watu wooooooote hawana uwezo ila LOWASSA tu
 
Hakuna alichoiba, ni kiongozi shupavu hana woga ndiye kiongozi pekee aliyewaambia wa Misri maji ya ziwa Victoria tutayatumia kama hawajaridhika tukutana International Court of Justice.

Kwa nini alijiuzuru uwaziri mkuu ???
 
Lowasa hana ubavu wa kushindana na moto wa. UKAWA hata siku moja mshaurini Lowasa apumzike afya yake ni mbovu sana

Hapo ukawa ni nani mwenye ubavu wa kusimama na Lowassa.??
 
Ndo madhara ya ndoa za utotoni umeozeshwa bado mdogo sn kutokana na hali ya maisha,subiri mwezi oct utashudia EL akila kiapo kuingoza TZ kwa miaka 5.
Labda awe raisi wa WAMA
 
Nilichokigundua ukawa na wafuasi wake wanamuogopa sana EL kabla hata hajatangaza nia, maana hali halisi wanaijua EL hana mpinzani kama ataamua kugombea.

Unaweza kuhisi unajua kumbe hujui au ushabiki unakupofusha!
 
Hii vita we unataka kuikimbiza mbio, iongelee kwanza hapo nyumbani lumumba! maana ndo kuna mtifuano

Kama EL akiamua hakuna kinachoshindika kwani mgombea anateuliwa na mtu mmoja?
 
Back
Top Bottom