John Okello
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 459
- 207
atakuwa raisi wa manzese
Akili yako kama koti ya bos ako...
atakuwa raisi wa manzese
JAMBAZI HILO HATULITAKI. lowasa awe rais wa nchi kweli! Yeye na kikwete wana laana ya Nyerere wanaamini kwenye kununua watu kwa pesa. Kwao pesa ndo kila kitu
Ukawa wakisikia jina la Lowassa wanaogopa sana.
ARUSHA na mikoa yote iliyopo juu ya RELI bado wanamkubali huyu Bwana.Hata kwenye jirani ya Kenya anakubalika sana na kabila la Wamasaai.Uwezekano bado ni mkbwa saana wa EL kuteuliwa na chama.
Akili yako kama koti ya bos ako...
lowassa ni MWIBA kwa ukawa!
Ukiona mtu anamtetea Lowassa ujue ni mmasai au ni njaa tu inamsumbua[/QU
Nipe sababu za kiueleewa kwa nini that man asiwe prezdaa...just y
Najiuliza ni kwa nini Lowassa anaogopwa na viongozi ndani ya CCM kuliko hata wapiga kura?
Namlinganisha na Gadaff jinsi alivyokua anaogopwa na nchi za magharibi na walipomshindwa kwa hoja waliamua kumuua ili tu waendelee kuinyonya Libya na Afrika.
Kama Kikwete anaipenda Tanzania kwa dhati basi aache uchaguzi ndani ya chama na ule uchaguzi mkuu ufanyike kwa uhuru na kwa haki aone jinsi Lowassa atakavyozoa kura nyingi akiwa ndani au nje ya CCM.
Tunajua Watangaza nia walioko serikalini wanatumia nguvu kubwa na pesa nyingi sana za walipa kodi kumpinga Lowassa ili ukweli usije ukajulikana lakini bado wananchi wanamuombea Lowasa ili atimize ndoto yake ya kufuta umaskini na ujinga Tanzania na Afrika Mashariki.
Najiuliza hivi kweli Lowassa angekua na roho mbaya aliyonayo Paulo Makonda kwa jinsi anavyotukanwa na kudhalilishwa basi tungesikia taarifa nyingi za Makonda kutishiwa maisha.Lakini Lowasa muda wote amekaa kimya.
Madaktari waligoma akaambiwa amehusika mpaka Dr.Ulimbaka akanusurika kuuawa. Haya yote ni siasa za chuki za wale wanaomchukia Lowasa kwa sababu tu ya ukanda na dhehebu la dini yake.
Ukawa wakisikia jina la Lowassa wanaogopa sana.
We can not bank on a "dying" president!! the guy is sick wajameni...
na huyu aliyepo nae afya imeimarika siku hizi tu alianguka anguka jukwaani
,mamvi atapona
Laana unayo wew ....