jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Askofu kavimbiwa sadaka! wanaarusha mlio waumini wake badilisheni jinsi ya kutoa sadaka, nawashauri zipelekeni zinakohitajika, huyo inawezekana ni shetani amejihuzulisha mbele za wana wa MUNGU. Simuheshimu tena huyo anayedaiwa kuwa askofu "laizer"