GITWA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,489
- 1,687
Si vyema kumkebehi askofu kwa kuwa ana miono kutoka mbinguni, heshimuni viongozi wa dini tusije pata matatizo katika taifa letu.
Hawezi kueshimiwa kiongozi kwa misingi ya kuwa kiongozi wa dini bali hueshimiwa kwa busara zake.