Kambi ya Lowassa kazini: Askofu Laizer aunga mkono Lema kuondolewa Arusha!

Mnaudhi mnapotumia ukristo kwa maslahi yenu. Ila si kila asemaye Bwana Bwana.....
 
Habari Leo na Jamba Leo vinara wa ku-make headlines kwa mgongo wa madhehebu, lakini nawakumbusha tu kwamba fikra za Wakristo hazinunuliwi kwa fedha.
 
Viongozi wa dini km hawa ndo wanaligawa TAIFA yanini aingilie siasa kwa maslahi ya nani? km sio kuliaibisha kanisa na dhehebu la KILUTHERI ni nini? Kuna haja sasa ata hawa viongozi wa dini tuwapigie kura kwani invyoonesha huyu ni mzigo kwa TIAFA kwani ameonesha mahaba ya dhati dhidi ya hujuma za CCM...Nani amemwambia kua JK na RIDHIWANI ndo sababu ya LEMA kuondolewa km sio na yeye anajua kila hila na njama zinazoendelea...LEIZER tunakushauri wewe ni kiongozi wa kiroho hivyo ya mungu mpe mungu na ya KAISARI muachie yeye, hatujasahau ushirikina wa BABU WA LOLIONDO jinsi ulivyokua kiongozi wa kiroho wa kwanza kwa kuuaminisha umma wa TANZANIA na nnje ya nchi ili wakanywe huo ushirikina wa huyo mwenzako hatujui km ulinunuliwa na BABU au la....LEIZER tunakuomba usitumie KANISA kwa maslahi yako binafsi kwa sababu wewe ni kiongozi unaetumika kila wakati....MUDA UMEKUACHA SORRY
 
Si vyema kumkebehi askofu kwa kuwa ana miono kutoka mbinguni, heshimuni viongozi wa dini tusije pata matatizo katika taifa letu.
unajuaje kuwa anayoongea ni kutokana na maono kutoka kwa Mungu,acha ukondoo na tumia reasoning.viongozi wangapi wa dini wamesaliti wito wao na kufuata maslahi binafsi na kutumiwa kisiasa?
 
Uaskofu wa laizer uko kwenye majoho yake tu,hakuna kitu.Kwani hatujui namna anavyotafuna hela za low hasa kama mchwa?na hawezi kubadilika mpaka tuwe na mwingine pale.Mwacheni tu,ataishia kuwa kama babu wa Loliondo.
 
huyu ndio alisababisha watu kufurika loliondo. Anatumika vibaya sana huyu askofu.
 
Laizer alikubali kutokumtambua Meya wa arusha pale uwanjani NMC , Leo Laizer anakubali wanyonge kuporwa Haki yao elimu yake inanitia yake , Mhashamu Rt Rev. Jospehat Lebubu anasimamilia haki kwani Kwenye Kanisa Katoliki lina Kitengo Cha HAKI za binadamu.
 
Achana na maaskofu njaa hao. siku hizi hakuna cha askofu wala mchungaji, wote mafisadi tuu.
 
Laizer Aungane na EL nasi Mungu yupo upande wetu. Lema atuwa mbunge wa arusha tu hata wafanje , Umesoma masowa ya Human right?
 
Wakati umefika sasa wa kumuwekea huyu askofu gavana ya mdomo...ananajisi kanisa
 
Jamani si lila mmoja ni muumini wa CDM ni vema mkatambua hivyo.Halafu kila mmoja ana upeo wake pia uhuru wa kutoa maoni.Huyo Laiser ametoa maoni yake kuhusu hukumu na ndiyo maana anasema kama Mh.Lema alizungumza lugha za kibaguzi bas anastahili hukumu hiyo.Sasa huyu babu anakosa gani kusema hivyo?Msilazimishe watu kupenda kila jambo.
 
Taitizo la JF ni ushabiki Askofu Laizer ametoka maoni yake.sasa na ni nyi mayo maoni yenu. Sasa matusi ni ya nini? Hivi ni lazima kila mtu afikri Kama ni nyi? Kama huu si udikteta ni kits gani?

Laizer hakutoa maoni bali amekazia hukumu. Amesema hakuwahi kuhudhuria mikutano ya Lema lakini "alisikia" kuwaLlema alisema... So hakusikia kwa masikio yake aliyopewa na Mungu kwamba Lema alisema, bali alisikia tu, umbea tuuuu. Katika hali hiyo yeye kama kiongozi wa dini hawezi kusema kuwa mahakama ilitoa haki What if Lema hakusema, na hata kama alisema katika context gani na huyo mtu aliyekuja kumuambia Laizer, ana elimu gani, kuweza kudhihirisha kuwa yupo competent kutoweza kudistort meaning ya kile anachotaka kukielezea. Mimi ningelikubali maneno ya Laizer kama yeye mwenyewe aliwahi kuhudhuria mikutano ya Lema na akamsikia kwa masikio yake mwenyewe, lakini kumbe alisikia, ina maana aliambiwa na third party. Kwa heshima ya uaskofu hakupashwa kukazia hukumu kwa maneno ya kusikia. Hii ni hatari sana kwa jamii kama watu kama Askofu watahukumu kwa maneno ya kusikia, sasa yeye ana tofauti gani na Pilato na makuhani waliomhukumu Yesu kwa kusikia-- tulisikia ulisema utabomoa hekalu kuu na kulijenga kwa siku tatu... tulisikia....niliwahi kusikia-- shame on you Laizer
 
Kiby! Kaisome tena hiyo habari unajichanganya mwenyewe. Kuna maaskofu wawili hapo waliozungumza kwenye habari hiyo!
 
Back
Top Bottom