Kamati za Bunge: PAC-Cheyo, LAC-Mrema & POC-CUF!

hebu nipige shule ya uhakika kuhusu KUB,sielewi KUB ni nini na inahusianaje na hizo kamati nyingine.

Endapo nimeelewa vizuri ina maana Mpini bado wanao CDM, kazi itakuwa ni moja kutimua wenyeviti wa kamati ili uchaguzi ufanyike tena na tena hadi ifike 2015. Hata ikibidi kuwatimua kwa sababu zozote hata mara 1000.
Madela wa Madilu, KUB ni Kambi rasmi ya Upinzani ambayo yote imehodhiwa na Chadema. Kambi rasmi ya upinzani ndio itaunda baraza kivuli la mawaziri.

Hizi kamati tatu zinaitwa Oversee Committe (PAC, LAC na POC) zilitakiwa kuongozwa na wabunge wa kambi rasmi ya upinzani hivyo zingeongozwa na wabunge toka Chadema.

Baada ya jana kupindisha kanuni, sasa wabunge wengine wowote wa upinzani wanaweza kuziongoza kamati hizo za oversee.

Kamati hizi haziwajibiki kwa kiongozi wa upinzani bungeni bali zinawajibikq kwa spika.
 
tunawajua hao sana. chadema kinachoiadhibu ni viongozi kuwa wachaga au watu wa kaskazini. Na hawataki mtu mwingine ambaye si mlafi wa pesa kushika ngazi za juu. Hii inawaathiri sana chadema na hii ndo itafanya wasipate kuchukua nchi hata siku moja. Wajifunze kwa mlafi mwenzao Mrema hadi leo hii badala ya kupumzika kama wenzake kina mkapa yeye bado anahaha tu.
Kwako wewe uongozi wa juu unaanzia wapi na kuishia wapi? Naibu katibu mkuu ni Zitto wa Kigoma, au naye ni mchaga wa kigoma? au kigoma iko kaskazini?
Endelea kulala, ukiamka nchi imechukuliwa!
 
Kwa kuwa ccm wameamua kuchakachua kanuni ili wajichagulie nani wa kuchunga serikali yao, ni wazi basi kuwa upinzani rasmi hautakuwepo; tunarudi katika mfumo wa chama kimoja chenye majina tofauti tofauti.
Ni juu ya wanachi basi kuamua kuwatosa wote wanaotaka kuua upinzani tukianzia na ccm hadi hao vibaraka wao.
 
Hizo ni kamati but still KUB na kaimu wake na baraza lote ni CDM, wenyeviti watakaochaguliwa wata-riport kwa KUB na watafanyakazi kwa maelekezo ya KUB wakifanya madudu KUB anawawajibisha CCM wanachagua wengine na mchezo unaendelea kama alivyowajibishwa Cheyo.

Quinene,

Nimefurahia mchango wako.

Hicho ulichosema ndicho hasa CDM wanatakiwa wakifanyie kazi kama Chama cha Upinzani rasmi Bungeni chenye kuongoza.Kama hawa kina Cheyo,Mrema na Mwanamama wa CUF watafanya kinyume cha maelekezo ya Kambi basi watimuliwe kwenye nafasi hizo. Ingawa nina wasiwasi sana na hali hii inavoendelea huko Bungeni.

CCM wameamua kutumia kila mbinu kumaliza au kuzima NGUVU YA CHADEMA. Bado CCM wana machungu ya kukaragazwa na CDM kwenye maeneo au ngome zao muhimu yakiwemo majiji makuu ya Dar,Arusha,Mwanza,Mbeya na Iringa.

Kwa hiyo tunachoshuhudia kwa sasa ni VITA BAINA YA CCM/CUF/TLP dhidi ya CHADEMA NDANI YA BUNGE.
Itakuwa ni vigumu sana kwa SERIKALI HII ILIYOKO MADARAKANI KUWALETEA MAENDELEO WANANCHI KWA VILE SASA HIVI CCM WAMESHAANZA VITA YA URAIS NA UBUNGE KWA 2015 KWASABABU WANA HOFU SANA NA CHADEMA KUWA INAWEZA IKACHUKUA UONGOZI WA NCHI 2015!!
 
Tatizo ni fedha na marupurupu ya Kiongozi wa Upinzani Bungeni, ni vigumu sana kwa Mbowe kuviachia!!

sidhani kama mbowe anahitaji hayo marupurupu sababu ana hela kuliko ukoo wenu mzima combined,dont make me remind you kipindi kile unaingia bills ulikuwa unampa mbowe hela
 
Sasa utawapa chadema uongozi wa kamati wakati hawana 'political maturity' wala busara za uongozi maana wao wanaona 'walk out' ndiyo hoja, sasa wakipewa halafu muda wa kutoa ripoti Mbowe anawambia watoke nje ina maana shughuli za mbunge za maslahi ya watanzania zisimame? hivyo spika atafanya vizuri sana kama kwa kupitia wabunge wa ccm watawachangua kina cheo, mrema na hamad kuongoz\a kamati ili chadema wapate muda mzuri wa kuwa wana 'walk out' kwenye mijadala.


Wewe kweli ni zuzu!!!!!! Hivi unajua hata maana ya political maturity au tu unajaribu kuweka maneno ya kingereza ili nawe uonekane umeenda shule?????
 
very sad news. Mpaka hapo upinzani utakuwa umekufa kabisa na serikali itafanya inavyotaka. nawashauri CDM waendeleze muvu.
 
Mkuu,

Hivi sisi watanzania tunajifanya taahira kweli!
Ni nani asiyejua kuwa bado Tanzania inaongozwa kwa misingi ya chama kimoja kama Taifa..nani halijui hili?


Vyama vilivyopo ni vyama vya kuisindikiza CCM. Ndio maana ni muhimu vyama hivi CDM, CUF, NCCR,TLP, UDP vishirikiane viweze kuubadilisha huu mfumo kutoka Chama kimoja kwenda mfumo wa vyama vingi.(Katiba mpya)

sasa hivi watu wanafanya maslahi tu, kuganga njaa...ni wachache sana ambao wako kwa kuwatumikia walalahoi, wananchi wa kawaida.
kumbuka siasa TZ ni short cut ya kukimbia makali ya njaa!!kwa kisingizio cha kuwatumikia wananchi.
Marando anataka kuwatumikia wananchi? Mbowe anataka kuwatumikia wananchi? Mrema huyu wa leo anataka kuwatumikia wananchi? Hamad rashid anataka kuwatumika wananchi? Mzee mapesa anataka kuwajaza watu mapesa?...wote hawa wanataka wapate fungu katika kodi zetu...TZ bado hatujaweka mfumo kwa viongozi tunaowachagua kuwajibika kwa wananchi...ni wachumia tumbo na kujaza mifuko yao tu.

kama una mifano ya wasio waganga njaa.. au wabinafsi weka orodha yao hapa!!

Pengine "beautiful ones are not yet born!!!"
Umeongea vema sana mkuu. Na huo ndio ukweli wenyewe ambao wengi hawataki hata kuusikia. Bado katika usingizi tuliomo tunaota kwamba fulani ndio atatutoa hapa kwenda pale... TUMIBWETEKA!!
 
Kesho ndio siku ya uchaguzi wa wenyeviti wa kamati za kudumu za bunge baada ya leo kutangazwa majina ya wajumbe wa kamati hizo.

Chama kilichoshika mpini Bingeni ndio determinant za nani waongoze kamati zipi. Hivyo CCM wameamua kuionyesha Chadema kuwa si lolote si chochote kwa kuhakikisha hawachaguliwi kuongoza kamati yoyote!.

Hivyo wameamua uenyekiti wa PAC kumpigia kura John Memosa Cheyo wa UDP, LAC watampigia Agostino Lyatonga Mrema wa TLP na POC itakwenda kwa mwanamama wa CUF.

Kama ni kweli hivyo ndivyo itakavyokuwa kesho, then Chadema wataongoza serikali kivuli kipofu maana haitakuwa na macho ya kuangalia ndani ya serikali baada ya kupoteza hizi over sight committies.

Habari hizi ni kwa mujibu wa corridors za Bungeni Dodoma.

Nadshani huu ni wakati muafaka kwa chadema kushitaki kwenye mahakama ya umma. Nguvu ya umma inahitajika sasa.
 
Kesho ndio siku ya uchaguzi wa wenyeviti wa kamati za kudumu za bunge baada ya leo kutangazwa majina ya wajumbe wa kamati hizo.

Chama kilichoshika mpini Bingeni ndio determinant za nani waongoze kamati zipi. Hivyo CCM wameamua kuionyesha Chadema kuwa si lolote si chochote kwa kuhakikisha hawachaguliwi kuongoza kamati yoyote!.

Hivyo wameamua uenyekiti wa PAC kumpigia kura John Memosa Cheyo wa UDP, LAC watampigia Agostino Lyatonga Mrema wa TLP na POC itakwenda kwa mwanamama wa CUF.

Kama ni kweli hivyo ndivyo itakavyokuwa kesho, then Chadema wataongoza serikali kivuli kipofu maana haitakuwa na macho ya kuangalia ndani ya serikali baada ya kupoteza hizi over sight committies.

Habari hizi ni kwa mujibu wa corridors za Bungeni Dodoma.

Huu ni ushindi mkubwa kwa chadema, kwani bunge litakua limezama rasmi na kuchangia kudidimiza maendeleo ya nchi.. which means the end of CCM era

CCM hawajui nini mchango wa wapinzani katika quality assurance yao

WAMEUMIA RASMI NA CHADEMA WAWAACHE JAMAA WAONGOZE WANAVYOTAKA ILI WAJIMALIZE KABISA
 
tunawajua hao sana. chadema kinachoiadhibu ni viongozi kuwa wachaga au watu wa kaskazini. Na hawataki mtu mwingine ambaye si mlafi wa pesa kushika ngazi za juu. Hii inawaathiri sana chadema na hii ndo itafanya wasipate kuchukua nchi hata siku moja. Wajifunze kwa mlafi mwenzao Mrema hadi leo hii badala ya kupumzika kama wenzake kina mkapa yeye bado anahaha tu.


JINSI ninavyoijua michango yako na jinsi ninavyopimaga uelewa wako, na mara nyingi mimi huwa nikiangalia Avator za watu naweza kujaji ni mtu wa aina gani/

Lakini kwa hili la leo, umenikatisha tamaa kabisa mkuu, umenikwaza kabisa hapo kwenye nyekundu, sikutegemea kama na wewe una utaalam wa kutema hivyo vitu, au umeteleza tu mkuu?
 
Quinene,

Nimefurahia mchango wako.

Hicho ulichosema ndicho hasa CDM wanatakiwa wakifanyie kazi kama Chama cha Upinzani rasmi Bungeni chenye kuongoza.Kama hawa kina Cheyo,Mrema na Mwanamama wa CUF watafanya kinyume cha maelekezo ya Kambi basi watimuliwe kwenye nafasi hizo. Ingawa nina wasiwasi sana na hali hii inavoendelea huko Bungeni.

CCM wameamua kutumia kila mbinu kumaliza au kuzima NGUVU YA CHADEMA. Bado CCM wana machungu ya kukaragazwa na CDM kwenye maeneo au ngome zao muhimu yakiwemo majiji makuu ya Dar,Arusha,Mwanza,Mbeya na Iringa.

Kwa hiyo tunachoshuhudia kwa sasa ni VITA BAINA YA CCM/CUF/TLP dhidi ya CHADEMA NDANI YA BUNGE.
Itakuwa ni vigumu sana kwa SERIKALI HII ILIYOKO MADARAKANI KUWALETEA MAENDELEO WANANCHI KWA VILE SASA HIVI CCM WAMESHAANZA VITA YA URAIS NA UBUNGE KWA 2015 KWASABABU WANA HOFU SANA NA CHADEMA KUWA INAWEZA IKACHUKUA UONGOZI WA NCHI 2015!!

Nadhani haitakuwa possible see this from Pasco

PHP:
Kamati hizi haziwajibiki kwa kiongozi wa upinzani bungeni bali zinawajibikq kwa spika.
 
Wewe kweli ni zuzu!!!!!! Hivi unajua hata maana ya political maturity au tu unajaribu kuweka maneno ya kingereza ili nawe uonekane umeenda shule?????

Tena huyo boma 2000 ni zuzu zuzu kweli yule J K nyerere alitupa hadithi yake ya kupewa jiwe badala ya almasi anatoka anachekele:twitch:
 
sidhani kama mbowe anahitaji hayo marupurupu sababu ana hela kuliko ukoo wenu mzima combined,dont make me remind you kipindi kile unaingia bills ulikuwa unampa mbowe hela

Aisee una akili sana weye...

Ndio maana Rostam Azizi hawezi kuangaika na tu Billion 94 twa Dowans wakati makampuni yake yanaingiza more than Billion 190 ndani ya miezi 3 tu.
 
Kesho ndio siku ya uchaguzi wa wenyeviti wa kamati za kudumu za bunge baada ya leo kutangazwa majina ya wajumbe wa kamati hizo.

Chama kilichoshika mpini Bingeni ndio determinant za nani waongoze kamati zipi. Hivyo CCM wameamua kuionyesha Chadema kuwa si lolote si chochote kwa kuhakikisha hawachaguliwi kuongoza kamati yoyote!.

Hivyo wameamua uenyekiti wa PAC kumpigia kura John Memosa Cheyo wa UDP, LAC watampigia Agostino Lyatonga Mrema wa TLP na POC itakwenda kwa mwanamama wa CUF.

Kama ni kweli hivyo ndivyo itakavyokuwa kesho, then Chadema wataongoza serikali kivuli kipofu maana haitakuwa na macho ya kuangalia ndani ya serikali baada ya kupoteza hizi over sight committies.

Habari hizi ni kwa mujibu wa corridors za Bungeni Dodoma.

Ni tetesi lakini nikweli mi nimeongea jana usiku na waheshimiwa wa CCM mpango ndio huo. Bado CDM wana nafasi kama nia yao ya kuleta changamoto ktk siasa za tanzania bado ipo. Kwa uwingi wa wabunge wa CCM bado ni ngumu kujijenga kwa cdm kutegemea bungeni na kwa kuwa wataendelea kubanwa sana na waliowengi wao wacheze zaidi siasa nje ya bunge. Na ninavyo jua kwa kuwa Zito naye watapiga chini huo ndio mwanzo wa kurudisha nguvu ya pamoja ndani ya cdm. Mi nasema Spika Makinda akicheza vibaya karata bungeni ya kubana hoja za cdm inaweza kuicost zaidi CCM kuliko wanavyofikiria, CCM hawafanyi siasa za kisayansi siku hizi mi najua kipindi cha Mangula hiyo mikakati hata tusingeijua lakini wangesambaratisha kwa styre ya silence killing but for now kama CCM hawatabadili njia na kuendesha kisayansi, wakamtegemea mama Makinda kuwabana CDM bungeni anguko bado lipo CCM. CHADEMA wengi hata CCM yenyewe hawaijui, hata wana CDM wenyewe hawaijui, ni tofauti sana na CCM wanavyoitazama........tusubiri tuone. Ila ya CUF ukweli si chama cha Upinzani wanachojaribu ni kuendelea kufight wasipoteze support bara. Nao watabanwa tu, ngoja wajisahau
 
Ni tetesi lakini nikweli mi nimeongea jana usiku na waheshimiwa wa CCM mpango ndio huo. Bado CDM wana nafasi kama nia yao ya kuleta changamoto ktk siasa za tanzania bado ipo. Kwa uwingi wa wabunge wa CCM bado ni ngumu kujijenga kwa cdm kutegemea bungeni na kwa kuwa wataendelea kubanwa sana na waliowengi wao wacheze zaidi siasa nje ya bunge. Na ninavyo jua kwa kuwa Zito naye watapiga chini huo ndio mwanzo wa kurudisha nguvu ya pamoja ndani ya cdm. Mi nasema Spika Makinda akicheza vibaya karata bungeni ya kubana hoja za cdm inaweza kuicost zaidi CCM kuliko wanavyofikiria, CCM hawafanyi siasa za kisayansi siku hizi mi najua kipindi cha Mangula hiyo mikakati hata tusingeijua lakini wangesambaratisha kwa styre ya silence killing but for now kama CCM hawatabadili njia na kuendesha kisayansi, wakamtegemea mama Makinda kuwabana CDM bungeni anguko bado lipo CCM. CHADEMA wengi hata CCM yenyewe hawaijui, hata wana CDM wenyewe hawaijui, ni tofauti sana na CCM wanavyoitazama........tusubiri tuone. Ila ya CUF ukweli si chama cha Upinzani wanachojaribu ni kuendelea kufight wasipoteze support bara. Nao watabanwa tu, ngoja wajisahau
Kipara kikubwa

Umesema kitu ambacho kwa shabiki wa kawaida si rahisi kukiona, siasa za CCM ya sasa ni za kuvizia kweupe hata kipofu anaona (not scientific kama ulivyosema). Chukulia sinema ya juzi kila mtu alijua nini kitatokea naweza kusema ni siasa za kitoto yaani kesho bunge linaanza leo unabadili kanuni.

Kwa tukio kama hili CCM ya zamani ingelimaliza bila hata ya wananchi kujua nini kinachoendelea wanasema kuchinjia baharini lakini leo CDM wanaweza kutafuta sympathy kwa wananchi kwa sababu kila mtu ameona move yake.
 
Sasa CHADEMA wana maana gani kuendesha kambi ya upinzani kipofu.....better waachie wanaotaka rasmi waiendeshe wao maana kwa hali ilivyo ni vigumu kuniambia kutakuwa na ushirikiano kati ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni na viongozi wa kamati hizi ambao watakuwa wamejaa jeuri kwa kuteuliwa kwako kutokea kwenye mgongo wa wabunge wengi wa CCM

Better achiwe Hamad na Kafulila waongoze kambi ya upinzani maana huu ni upuuzi kuwa kiongozi wa upinzani huku kamati muhimu za kuisimamia serikali zikiwa virtually chini ya CCM. Utaisimamiaje serikali ambayo huoni inafanya nini kwa kunyang'anywa macho?
CCM has won a battle not the war. Huwezi kuacha mapigano kwa sababu umepoteza pambano moja. Unarudi nyuma ikibidi, unapanga upya majeshi yako na kuendelea na vita. Wanaodhani CHADEMA itapungua nguvu kwa sababu ya ubia wa CCM/CUF/NCCR/UDP ni vipofu. Bunge hili litawaka moto labda Makinda (na mabwana zake mafisadi) watunge sheria na kanuni za kuwazuia wabunge wa CHADEMA kuchangia hoja. Ujumbe utafika tu.
 
Mkuu,

Hivi sisi watanzania tunajifanya taahira kweli!
Ni nani asiyejua kuwa bado Tanzania inaongozwa kwa misingi ya chama kimoja kama Taifa..nani halijui hili?

Vyama vilivyopo ni vyama vya kuisindikiza CCM. Ndio maana ni muhimu vyama hivi CDM, CUF, NCCR,TLP, UDP vishirikiane viweze kuubadilisha huu mfumo kutoka Chama kimoja kwenda mfumo wa vyama vingi.(Katiba mpya)

sasa hivi watu wanafanya maslahi tu, kuganga njaa...ni wachache sana ambao wako kwa kuwatumikia walalahoi, wananchi wa kawaida.
kumbuka siasa TZ ni short cut ya kukimbia makali ya njaa!!kwa kisingizio cha kuwatumikia wananchi.
Marando anataka kuwatumikia wananchi? Mbowe anataka kuwatumikia wananchi? Mrema huyu wa leo anataka kuwatumikia wananchi? Hamad rashid anataka kuwatumika wananchi? Mzee mapesa anataka kuwajaza watu mapesa?...wote hawa wanataka wapate fungu katika kodi zetu...TZ bado hatujaweka mfumo kwa viongozi tunaowachagua kuwajibika kwa wananchi...ni wachumia tumbo na kujaza mifuko yao tu.

kama una mifano ya wasio waganga njaa.. au wabinafsi weka orodha yao hapa!!
Pengine "beautiful ones are not yet born!!!"
Hoja yako ni ya jumla mno. Too general. Ndiyo, kuna maslahi mazuri Bungeni. Lakini si kila mbunge amekwenda kule kwa sababu ya maslahi. Unabisha kwamba Dr. Slaa hakufanya kazi yoyote ya kuwatumikia wananchi alipokuwa mbunge? Upinzani tafsiri yake isiwe yeyote ambaye hayuko CCM. Upinzani uwe ni dhamira ya dhati ya kuleta mabadiliko. Maslahi ni matokeo tu.
 
Back
Top Bottom