Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,903
- 945
🔰🔰🔰WAJUMBE WA KAMATI YA UTEKELEZAJI YA BARAZA KUU LA UWT WANOLEWA KUHUSIANA NA SERA YA JINSIA
📍Dodoma
Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza kuu la UWT chini Mwenyekiti Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC), wameshiriki semina ya masuala ya Sera ya jinsia. Leo Tarehe 19 Februari, 2024.
Semina hii ni nyenzo muhimu kwa UWT katika kupanga mikakati madhubuti kuelekea usawa wa kijinsia (50/50) sambamba na kuongeza ushiriki wa wanawake katika Siasa hasa tunapolekea katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na uchaguzi wa Serikali kuu 2025.
Semina hii imeandaliwa na UWT Taifa chini ya Kamati ya Haki na Sheria inayoongozwa na Mhe Zainab Katimba (Mb) kwa kushirikiana na taasisi isiyo ya kiserikali ya FES.
#UWTUpdates
#UWTIMARA#JESHILAMAMA
#KAZIIENDELEE
Attachments
-
WhatsApp Image 2024-02-19 at 20.55.42.jpeg185.1 KB · Views: 2
-
WhatsApp Image 2024-02-19 at 20.16.13.jpeg196.3 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2024-02-19 at 20.16.12(1).jpeg115.9 KB · Views: 0
-
WhatsApp Image 2024-02-19 at 20.16.12.jpeg171 KB · Views: 0
-
WhatsApp Image 2024-02-19 at 20.16.11.jpeg143.8 KB · Views: 0