BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,682
- 3,392
Hahaha JPM kawashika pabaya sanaaa,mmekuwa kama vifaranga wa kuku hamjui pakushika,mmeishiwa ajenda mnabaki kupingapinga tu kila kitu.Hahahahhahaha baada ya kuona hamna jinsi mmekuja na hiyo.Bado sana CCM mnamengi ya kutujibu Majmabzi wakubwa nyie,bado mnataka kutumia raslimali muda na pesa kupongeza upuuzi
Magufuli ni moto wa pumba,mtanyooka tu iwe ndani au nje ya bunge,Kawaachia ajenda moja tu mliobaki nayo ambayo ni Ya Misiba na rambirambi.Hafi mtu tens.