watz bana et leo magufuli ndo mzalendo wap kina zito kabwe,, james mbatia,,tundu lisu,, walio kuwa wanapigania hi mikataba feki isi sainiwe wakati huo magufuli alikuwa ni miongoni mwa wanao shangalia na kupiga meza za bunge na kupaza sauti ndio ipite!!!!! Leo tuwe wazalendo!!!!!Sasa hapo wanakutana vipi kwa dharura wakati kila kinachoenda kujadiliwa kishajulikana.
na wana mpa zawadi ya nini wakati yeye anafanya mambo hayo kw auzalendo wake mwenyewe..?
chamsingi tumuunge mkono mh JPM kwa haya aliyoyafanya kwani anaanza kuvivaa viatu vya babu Nyerere
na sokoine.