Kwa maelezo ya Mbunge wa Arusha inathibitisha kabisa utawala wa awamu ya tano haukufuata sheria za nchi.
Gambo katika michango take Mara kwa Mara ameonyesha kama alikuwa RC kivuli.
Ndugu zangu sana CCM hii inatoa ushahidi tosha kuwa Yale aliyokuwa anayasema LISU wakati wa kampeni na kabla ya kampeni ni kweli.
Naomba kamati ya maadili ya CCM imhoji GAMBO ili kunusuru uvumi.
Ikumbukwe kuwa miaka 6 kati ya wanasiasa waliokuwa wakweli ndani ya CCM na ndani ya bunge ambaye hakuwa mnafiki ni BASHE TU.
Alikuwa tayari mbele ya bunge kuhojiwa.
BASHE aliyaona akasema ni kijana.
GAMBO alinyamaza, sasa anasema ni kijana
KHERI JAMES alisema wapinzani tutawadunda sindano, ni kijana
Vijana wa CCM tupo?
Gambo katika michango take Mara kwa Mara ameonyesha kama alikuwa RC kivuli.
Ndugu zangu sana CCM hii inatoa ushahidi tosha kuwa Yale aliyokuwa anayasema LISU wakati wa kampeni na kabla ya kampeni ni kweli.
Naomba kamati ya maadili ya CCM imhoji GAMBO ili kunusuru uvumi.
Ikumbukwe kuwa miaka 6 kati ya wanasiasa waliokuwa wakweli ndani ya CCM na ndani ya bunge ambaye hakuwa mnafiki ni BASHE TU.
Alikuwa tayari mbele ya bunge kuhojiwa.
BASHE aliyaona akasema ni kijana.
GAMBO alinyamaza, sasa anasema ni kijana
KHERI JAMES alisema wapinzani tutawadunda sindano, ni kijana
Vijana wa CCM tupo?