Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,581
- 46,179
Ipo siku serikali itakubali tu katiba mpya inahitaji kuandikwa, siku hiyo ikifika tutahiji timu ya watu kuandika. Katiba nzuri lazima iandikwe na watu makini, wazalendo, wenye utaalamu na uzoefu mkubwa wa haki za kiraia, utawala bora na demokrasia. Pia ni lazima wawe watu wenye mtazamo wa mabadiliko waliojidhihirisha hivyo mbele ya jamii.
Watu kama hawa wako wachache sana nchi hii, ila hawa hapa ni baadhi ya wanaoweza kupewa hiyo kazi wakaifanya vizuri sana na tukapata katiba pendekezwa kwa ajili ya referendum moja kwa moja;
1.Hellen Kijo Bisimba- Mwenyekiti
2.Joseph Warioba- Makamu mwenyekiti
3.Jebra Kambole- Katibu
4.Fatma Karume- Naibu Katibu
5.Maria Sarungi - Afisa Mawasiliano.
Wajumbe
6.Tundu Lissu
7.Musa Assad - CAG mstaafu
8.Jenerali Ulimwengu
9.Barnabas Samatta- Jaji mkuu mstaafu
10.Azaviel Lwaitama
11.Mark Mwandosya
12.Issa Shivji
13.Ananilea Nkya
14.Professor Abdallah Safari
15.Vicensia Shule - Mwanaharakati wa jinsia
16.John Mallya - Wakili
17.Jaji Sam Rumanyika
18.Ernest Mangu-Mwakilishi vyombo vya ulinzi
19.Deus Kibamba-Mwanaharakati wa katiba.
20.Bravious Kahyoza - Mchumi mwenye uelewa mkubwa wa katiba na historia.
21.Mohamed Mchengerwa kutoka serikalini
22.Hussein Katanga - Katibu mkuu Kiongozi
23.Anne Makinda - kwa niaba ya bunge
24.Othman Masoud kutoka serikali ya Zanzibar.
25.Askofu Benson Bagonza
26.Askofu Severine Niwemugizi
27.Sheikh Issa Ponda
28.Sheikh 1 wa BAKWATA(Apendekezwe)
29.Rakesh Rajani- Mwanzilishi HakiElimu na Twaweza.
Maria Space pia mnaweza kutumia hii orodha.
Watu kama hawa wako wachache sana nchi hii, ila hawa hapa ni baadhi ya wanaoweza kupewa hiyo kazi wakaifanya vizuri sana na tukapata katiba pendekezwa kwa ajili ya referendum moja kwa moja;
1.Hellen Kijo Bisimba- Mwenyekiti
2.Joseph Warioba- Makamu mwenyekiti
3.Jebra Kambole- Katibu
4.Fatma Karume- Naibu Katibu
5.Maria Sarungi - Afisa Mawasiliano.
Wajumbe
6.Tundu Lissu
7.Musa Assad - CAG mstaafu
8.Jenerali Ulimwengu
9.Barnabas Samatta- Jaji mkuu mstaafu
10.Azaviel Lwaitama
11.Mark Mwandosya
12.Issa Shivji
13.Ananilea Nkya
14.Professor Abdallah Safari
15.Vicensia Shule - Mwanaharakati wa jinsia
16.John Mallya - Wakili
17.Jaji Sam Rumanyika
18.Ernest Mangu-Mwakilishi vyombo vya ulinzi
19.Deus Kibamba-Mwanaharakati wa katiba.
20.Bravious Kahyoza - Mchumi mwenye uelewa mkubwa wa katiba na historia.
21.Mohamed Mchengerwa kutoka serikalini
22.Hussein Katanga - Katibu mkuu Kiongozi
23.Anne Makinda - kwa niaba ya bunge
24.Othman Masoud kutoka serikali ya Zanzibar.
25.Askofu Benson Bagonza
26.Askofu Severine Niwemugizi
27.Sheikh Issa Ponda
28.Sheikh 1 wa BAKWATA(Apendekezwe)
29.Rakesh Rajani- Mwanzilishi HakiElimu na Twaweza.
Maria Space pia mnaweza kutumia hii orodha.