Kamati ya Bunge yabaini Mwendokasi wanajiendesha kwa hasara

Huwezi kuruhusu watu wa print tickets halafu utegemee faida ...Mchezo wa pale ni kuwa ticketi 1000 za kampuni, ticket 1000 za upigaji. We watu wanalipa 1000 nauli ya gerezani mpk mbezi, gari linajaa mpk kwa kukanyaga hupaoni halafu useme basi zinajiendesha kwa hasara....trip moja ya Mbezi - gerezani wanajaa zaidi ya watu 100...fanya minimum ni sh 100,000 wanaingiza kwa trip , je hii ni ndogo? Yaani tena basi zinalita kwenye njia zisizo na foleni hazinywi mafuta kivile
 
Kuna watu wamepata ajira za kuchana ticketi tu, huhitaji hata kwenda shule just unachana tu tiketi...wakati mfumo wa kielectroniki wa kupunch tickets pale ulikuwepo vizuri ila wameona wauondoe ili waajiri watu wa kuchana tiketi...pathetics
 
Maxmalipo si ndio hawa wakina Charamila waliopiga bilioni 2 uko Iringa?
na hao maxmalipo ndo walewale tu team moja.
Mfumo ulikuwa mzuri ila kuna watu walitemper na system .
Ilikuwa ni kuboresha tu mfumo wa ki electronic, na kuziba mianya ya upotevu wa pesa . Hii ya kutoa mfumo na kurudisha makarani watu ndo imeimarisha upigaji pesa .
 
Hii habari si ya kushangaza hata kidogo.

Ukifuatilia kwa makini wanavyoendesha hizo shughuli zao utagundua tu wanapata hasara.
 
Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara

Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Wizi mtupu. Serikali yenyewe ndio huenda kwemye taasisi kuchota mijihela ya kuhonga hasa kipindi cha uchaguzi. Ila huko haziwezi kuonekana kama zilienda kwenye kampeni au uchaguzi
 
Nina Kadi yangu ipo tu ndani baada ya kuua ule mfumo wa kielectronic, ulikuwa unaweka nauli ya mwezi mzima kazi yako inakuwa ni kuchanja tu.

Wamerudi kwenye makaratasi watu wanachofanya kugawana pesa zetu kwa kula sambamba na zile tickets wanaprint zao na za serikali hapo lazima liende kiasala hakuna namna.

Wabadilike, mbona pale feli watu wanatumia kadi wao wanafeli wapi?
 
Zinatumia mafuta kiasi gani na gharama za matengenezo zipoje Mkuu labda iwe gari ya plastic lakini kwa jinsi navyozijua gari mpaka ziharibike kwa kutembea mileage kadhaa na wewe unapata chochote sio kwa hasara hiyo inayotangazwa kila kukicha mimi ntabisha hata kodi sidhani kama wanasumbuliwa kama makampuni binafsi..
Mkuu zile basi ni cheap sana ku run, kwanza zina njia yake!! Pili zina wateja wake
Nilikaa na jamaa aliwahi endesha hizo basi anasema kwa siku lile basi refu hadly linatumia lita 100, revenue yake at peak hours basinlinapakia abiria 200+ , @650, unaongelea karibu 130000 tshs, one way kwa route isiyozidi km 15. Unapataje hasara hapo ? Na basi haina hata konda kusema kwamba atapanga matokeo!
 
Mkuu zile basi ni cheap sana ku run, kwanza zina njia yake!! Pili zina wateja wake
Nilikaa na jamaa aliwahi endesha hizo basi anasema kwa siku lile basi refu hadly linatumia lita 100, revenue yake at peak hours basinlinapakia abiria 200+ , @650, unaongelea karibu 130000 tshs, one way kwa route isiyozidi km 15. Unapataje hasara hapo ? Na basi haina hata konda kusema kwamba atapanga matokeo!
Wezi wanatoa taarifa ya uongo ili waendee kuiba kama bus linawashinda wataweza kufanya biashara yenye ushindani mkubwa ya Ndege...
 
Wachumia tumbo watakua ni wengi humo
Yes! Wanascan ticket 10, katika kila tiketi 1000, sasa hayo mapato serikali inayaonaje??
Waweke TISS wao kila kituo Kwa wiki Tu, ahesabu watu wanaoingia kwenye basi, kisha waje walinganishe na makusanyo ya fedha!

Humo utakuta kuna chama Fulani lazima kinapokea fungu kutoka huko kupitia mlango wa nyuma!

Hii nchi inakera hadi waweza kutapika!
 
Serikali Katu haiwezi fanya biashara ikafanikiwa ni bora miradi yote isimamiwe na wageni wao wabakie kupewa pesa tu ndicho walichofanya waarabu nchi zao thus Wana maendeleo. miradi yote mikubwa wazungu ndio wanaendesha ukija dukani au kwenye mauzo pote wahindi ndio wameajiriwa. Sisi tulishashindwa
 
Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara

Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Kwani inatoa huduma au inafanya biashara. Kazi kubwa ya BRT ni kutoa huduma kwa wananchi wake siyo kufanya biashara.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom