Kumbe unajua kwamba no incentive to work for public interest,ndio uelewe sasa kwamba kinachotakiwa na kubinafsishwa.Watu wanaiba hela hapo hakuna hasara hata iweje...kampuni haina ushindani ni wao tuu wanapataje hasara wakati bus za mikoani na ushindani mkubwa na hasara sio kubwa kama za huko kila kukicha...napinga hakuna hasara ni wizi tuu maana mali ni ya umma hakuna anaejali..
Bwawa sio mradi wa biashara ni mradi wa huduma, tayari tuna mabwawa umeona yamekauka?Hata bwawa la nyerere litakauka baada ya wiki moja tu ya kujazwa maji.
Hakuna cha wasimamizi makini, serikali na biashara wapi na wapi?
Bila kubinafsishwa ni useless.Kazi ya serikali ni kujenga barabara sio kumiliki daladala.
Huelewi ndio.Kwani kutafutwa wasimamizi si ndio kubinafsishwa kwenyewe, au mimi ndio sielewi mkuu?
Wakabidhiwe umoja wa wamiliki wa daladalaHuo mradi ni failure...watafutwe wasimamizi makini
Unajua chochote kuhusu transportation business?Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara.
Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Wakabidhiwe umoja wa wamiliki wa daladala
Haya sawaHuelewi ndio.
Very likely mkuuNina wasiwasi hata treni ya SGR itakuwa hivyo hivyo!
Inajiendesha Kwa hasara vipi wakati hawapigwi mkono na trafiki?..Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara.
Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Hakuna kitu Tanzania kinajiendesha kwa faida maana wapigaji ni wengi snKauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara.
Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Mifumo ya wakubwa hiyo mkuuMchawi tiketi...Hapo ndio pesa inapigwa...ule mfumo wakuscan ulikuwa mzuri Sana and easy for reconciliation..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mfumo wa viti si unabadilishwa tuu mkuu??Kwa mfumo wa yale mabasi kupata level seat na liondoke itakuwa ni hasara
By default yanategemea sana abiria wa kusimama as number za seats ni chache
Hata ukipewa wewe utaweza, sema wapigaji pale ni wengi snWampe Bakhresa auendeshe uone kama kutakuwa na huo ujinga...
Hata ukibaki hivyo hivyoMfumo wa viti si unabadilishwa tuu mkuu??