Kamati ya Bunge yabaini Mwendokasi wanajiendesha kwa hasara

Watu wanaiba hela hapo hakuna hasara hata iweje...kampuni haina ushindani ni wao tuu wanapataje hasara wakati bus za mikoani na ushindani mkubwa na hasara sio kubwa kama za huko kila kukicha...napinga hakuna hasara ni wizi tuu maana mali ni ya umma hakuna anaejali..
Kumbe unajua kwamba no incentive to work for public interest,ndio uelewe sasa kwamba kinachotakiwa na kubinafsishwa.
 
Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara.

Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Unajua chochote kuhusu transportation business?

Huko kujaza ndo kutengeneza faida? Ushajiulizs wanajaza muda gani ndani ya siku?

Ushajiuliza kuhusu operation costs?

Kabla hataka kamati ya bunge kusema, nilishaona kabisa huu mradi unatengeneza hasara.
 
Hela wanapata.. BUT utakuta wanajilipa mishahara minono kweli

Pia mabasi mengi ni chakavu
 
Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara.

Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Inajiendesha Kwa hasara vipi wakati hawapigwi mkono na trafiki?..
 
Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara.

Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Hakuna kitu Tanzania kinajiendesha kwa faida maana wapigaji ni wengi sn
 
Serikali ilitakiwa kutengeneza miundombinu tu kisha hizi huduma zitolewe na makampuni binafsi kwa kutangaza tenda!
Serikali haiwezi kamwe kuendesha huu mradi kwa mafanikio na wajifunze ktk nchi nyingine.
Kunakuwepo na kitengo cha serikali cha monitoring and evaluation, full stop!
 
Back
Top Bottom