Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,896
- 8,984
Kwa hiyo kwa akili yako na Magufuli mkaona bora kuharibu mfumo wa kadi. Unakumbuka mliwapa hiyo kazi TTCL vipi? Magufuli aliharibu hilo shirika.. hakuna ubunifu shirika limejaza wakata tiketi wapo sawa na abiria ujinga mtupu.Pumbavu kweli wewe sasa Magufuli yeye ndio aliiba? Rates za MaxMalipo zilikuwa juu sana kiasi kwamba ilikuwa kama wao ndio wenye mabasi