Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 29,095
- 47,177
Tatizo sio kujaza watu, tatizo cost za uwendeshaji huenda ni kubwa kuliko kinachopatikana
Au wanachopiga ni zaidi ya uendeshaji?
Tatizo sio kujaza watu, tatizo cost za uwendeshaji huenda ni kubwa kuliko kinachopatikana
Hao maxmalipo nao wezi wameipiga Sana serikali.Wakulaumiwa ni Magufuli na roho mbaya yake.. kulikuwa na mfumo mzuri sana wa kulipia kuhusu tiketi yeye na roho korosho yake akawatoa wale Maximalipo na ukawa mwanzo wa wizi wa tiketi. Pesa zinaibwa sana sijui kwanini waliua ule mfumo wa tiketi. Majaliwa kapiga mdomo kawa kimya. Bashungwa ndio mtu wa ajabu sana katembelea pale kakuta changamoto zake akampa muda meneja afanye utaratibu zimalizike. Kuna wizi sana.
Gharama za kuprint Kadi tena yake itazidi buku kwa kadiWe tiketi hawachani wanazungusha zinarudi tena kupitisha watu wengine. Lile shirika ni taka taka. Tutegemee ili pia siku sgr ikianza kufanya kazi.
Kwani serikali au shirika lisije na mfumo wa kadi ili kuingia mwendokasi lazima uwe na card, na card inakuwa buku.. then unakua una nunua tiketi kwa mfumo wa kadi na scanning zifanye kazi maana tangu max malipo aondokw ni mfu.
Waongeze ubunifu wangekuja na vip mwendokasi kama mdau mmoja alivyosema, seat safi, kiyoyozi.
Pia watazame upya swala lao wa nauli kuna mahali sio wa kuenda na 650, wapunguze na mida ya watu kungoja bus
Level siti kwa nauli hiyo ailipiHasara ni kwa kutokuwa Wabunifu...
Ongezeni ,Tengeni Ma-bus kadhaa kwa huduma ya VVIP zenye Kadi Maalumu ...Mbezi Kivukoni 3000/=
Ubungo - Posta 2000/=
Level Seat
Tutayaacha Magari Nyumbani
Moja kwamoja nishindwe kulipa bus Bm au abood 8000 niaze kulipa 50000 au 30000 kufika moro ,yaan akati pesa ya lodge inabakia nikilipa 8000Nina wasiwasi hata treni ya SGR itakuwa hivyo hivyo!
Zinatumia mafuta kiasi gani na gharama za matengenezo zipoje Mkuu labda iwe gari ya plastic lakini kwa jinsi navyozijua gari mpaka ziharibike kwa kutembea mileage kadhaa na wewe unapata chochote sio kwa hasara hiyo inayotangazwa kila kukicha mimi ntabisha hata kodi sidhani kama wanasumbuliwa kama makampuni binafsi..Kwa mfumo wa yale mabasi kupata level seat na liondoke itakuwa ni hasara
By default yanategemea sana abiria wa kusimama as number za seats ni chache
Maxmalipo si ndio hawa wakina Charamila waliopiga bilioni 2 uko Iringa?Wakulaumiwa ni Magufuli na roho mbaya yake.. kulikuwa na mfumo mzuri sana wa kulipia kuhusu tiketi yeye na roho korosho yake akawatoa wale Maximalipo na ukawa mwanzo wa wizi wa tiketi. Pesa zinaibwa sana sijui kwanini waliua ule mfumo wa tiketi. Majaliwa kapiga mdomo kawa kimya. Bashungwa ndio mtu wa ajabu sana katembelea pale kakuta changamoto zake akampa muda meneja afanye utaratibu zimalizike. Kuna wizi sana.
Tatizo sio kujaza watu, tatizo cost za uwendeshaji huenda ni kubwa kuliko kinachopatikana
Sio kweli, kutakua na ubadhilifuTatizo sio kujaza watu, tatizo cost za uwendeshaji huenda ni kubwa kuliko kinachopatikana
Nina wasiwasi hata treni ya SGR itakuwa hivyo hivyo!
Nina wasiwasi hata treni ya SGR itakuwa hivyo hivyo!
Unachopinga ni nini? Ni kitu gani serikali iliendesha kwa faida, wewe tangu upate ufahamu wako? Magari mangapi ya mwendo kasi yame pack wala hayafanyi kazi? Mara ngapi abilia wanarundamana vituoni na hasa kivukoni, wakati abiria wakiwa wamejaa wanasubiri usafiri, lakini waheshimiwa wateule wa serikali wakiwa sijui wanafanya nini? Umeona mara ngapi magari ya mwendo kasi yanaondoka kituoni yakiwa tupu bila kuchukua abiria hata kama wamejazana?Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara
Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?