sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,522
- 7,370
Magufuli our hero. Tunamshukuru Mungu kwa hii zawadi. Pumzika mahala pema Babalao.
Itakuwa tofauti na ile ya Rais samia siku 14 aliyoitangazaKamati kuu ya CCM itakutana kwa dharura tarehe 20/03/2021 siku ya Jumamosi kufuatia kifo cha mwenyekiti ndugu Magufuli.
CCM imetangaza siku 21 za maombolezo sawia na tangazo la serikali.
Source Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!
Na kifo hakina vyama....!!!Kamati kuu ya CCM itakutana kwa dharura tarehe 20/03/2021 siku ya Jumamosi kufuatia kifo cha mwenyekiti ndugu Magufuli.
CCM imetangaza siku 21 za maombolezo sawia na tangazo la serikali.
Source Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!
kimeumanaSukuma land awaamini dunia imevaa bukta.
Wale waganga njaa wa simiyu vipi kulikoni wapemba wamezidi kete.Ndumba za kwenye miti na ndumba za maji chumvi hii vita ni hatari.vuta nikuvute
😁😁😁😁😁Muanze kuvaa barakoa sasa. Mkishupaza shingo shauri yenu
Kamati kuu ya Ccm white house na kamati kuu ya Ccm ya Ndugai mjengoni nao watakaa kujadidi dhuluma zao.. Mungu hutulipia visasi.Kamati kuu ya CCM itakutana kwa dharura tarehe 20/03/2021 siku ya Jumamosi kufuatia kifo cha mwenyekiti ndugu Magufuli.
CCM imetangaza siku 21 za maombolezo sawia na tangazo la serikali.
Source Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!
Serikali tangazo la msiba kwa siku 14 sio 21 kama ulivyoandika hapa kwamba /sawia na tangazo la serikali'
Samia aliteleza maana lilikuwa ni tangazo gumu sana kwake ni siku 21.. Si kila jambo kuponda.Mmekutana ili mcheze ngoma ya CDM maana ndio waliowabana kutangaza kifo na Leo mmebanwa kuomboleza siku 21 wakati serikali chini mvunja katiba Samia imemnyima marehemu siku Saba zaidi kwa kutangaza siku 14 tu. Eti polepole anadhani akisema sambamba na tangazo la serikali ndio ataivalisha nguo. Hovyo kabisa
Kumbe mama alichemka badala ya siku 21 za katiba akasema 14 yaani coordination ni kitu muhimu sana aisee
Mungu wao amekufaLeo chama cha mapinduzi kimetoa taarifa rasmi ya kifo cha Dkt. John Magufuli ambae amekuwa mwenyekiti wa chama hicho na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Taarifa hiyo imesomwa na Humphrey Polepole.
========
Polepole: Chama cha mapinduzi, safu yake ya uongozi na wanachama tumepokea kwa mshtuko na huzuni kubwa taarifa ya kifo cha mpendwa wetu, John Pombe Joseph Magufuli, mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wakuu wa chama waliopo, mzee Philip Mangula, makamu mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara na mzee Ali Mohammed Shein, makamu wa mwenyekiti wa Tanzania Zanzibar wameshaurianana kukubaliana kwamba kamati kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa iketi kwa kikao maalum siku ya Jumamosi ya tarehe 20 ya mwezi huu Machi mwaka 2021 saa nane mchana katika ofisi ndogo ya makao makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam.
Aidha taarifa inatolewa kwamba chama kitakuwa katika maombolezo ya siku 21 sambamba na tangazo la serikali, wakati wote huo bendera za chama cha mapinduzi zitapepea nusu mlingoti.
Kutakuwa na kitabu cha salam za rambirambi na maombolezo katika ofisi ya makao makuu ya CCM, 'White House' hapa jijini Dodoma lakini kitakuwepo pia kitabu cha kupokea salam za rambirambi na maombolezo katika ofisi zetu za chama
Uongozi wa chama unawaomba sana wanachama wote wa CCM, watu wote wenye mapenzi mema na nchi yetu, watanzania wote kwa ujumla kuwa na moyo mkuu, kuendelea kuwa watulivu, kusimama imara na kuendelea kutafakari mchango wa kipekee na wa kihistoria kwa Taifa letu wa ndugu yetu na mpendwa wetu, John Pombe Joseph Magufuli aliyekuwa mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Taarifa inatolewa pia kwamba shughuli za chama zile zihusianazo na uchaguzi ndani ya chama zinasimama kwa muda mpaka yatakapotolewa maelekezo mengine.
Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie, apumzike kwa amani ndugu John Pombe Joseph Magufuli, Amen.
Asanteni kwa kunisikiliza
Aliteleza? Alifuata Ganda la ndizi? Muwe mnateleza huko Lumumba mkitoka nje muwe mnakuja na akili kubwa msidhani sisi Ni wapuuzi wenzenu hapaSamia aliteleza maana lilikuwa ni tangazo gumu sana kwake ni siku 21.. Si kila jambo kuponda.
Psychiatric disorder will kill you.... kumuattach Samia bila reason inathibitisha hilo....Aliteleza? Alifuata Ganda la ndizi? Muwe mnateleza huko Lumumba mkitoka nje muwe mnakuja na akili kubwa msidhani sisi Ni wapuuzi wenzenu hapa
Chanjo wamepewa watu million 17 na walioathirika hawafiki 400!! Below 0.00% kma tu ambavyo hta tukiwapa Insulin watu laki 1 huwezi kosa watu hta buku watakaopata side effects.Daah very sad kwa kweli Magufuri amefariki akitupigania tulikua tushadungwa hiyo Zeca sijui kama huko Rwanda na kwingineko ambayo imeanza kupigwa marufuku....
Poleni sana ila ndio ameshalala mavumbini hapo alipo anatolea mahesabu ya madudu yote aliyofanya. Trust me anajuta mnoo ila hivo hana fursa tena ya kuomba radhi maana huko kuzimu hakuna cha nlikua Rais wala jemedari.Lazima utachanganyikiwa mzee. Mungu amsaidie mama yetu aendeleze gurudumu kwa haki.
Chadema muwe wapole, uraisi mtausikia tu