Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,514
Huo mfano wako wa fomula ni irrelevant una maana usipojua fomula ndio usifanye mtihani unaweza ku struggle usiku na mchana still fomula usielewe lakini at the end of the day lazima uingie kwenye mtihani.Mkuu,
hawa watu wanaharibu kwa kukosa maarifa.
haiwezekani unajua kabisa swali flani formula yake ni xxxx alafu unaingia
kwenye mtihani bila kuifanyia kazi hiyo formula,.....
ukifeli una lalamika kuonewa na mwalimu.
Kwenye siasa ni ndoto kusubiri kila kitu kiwe sawa au kitayarishwe na chama tawala then uitwe njoo sasa tumeshabadilisha, you have to fight and struggle for it, sometimes force things to happen don't wait things to happen.