Nyie mnaolazimisha CDM iungane na CUF kwanini CUF wasiungane na CCM halafu mtuambie ni wapi wapinzani waliungana wakashinda,
kama ni kugawana kura hata CCM itagawana na CUF maana CDM wanaenda bila kuwa na kura hata moja, ngoja niwape mahesabu yatavyokuwa,
Uchaguzi uliopita CCM walipa kura 35,000 safari hii watapata nusu ya hizo nusu iliyobaki itakwenda Chadema yaani 17,500.
CUF walipata kura 11,000 safari hii hata nusu yake hawapati basi tuwape nusu 5,500 na nusu iliyobaki itakwenda Chadema yaani 5,500.
Final results
Chadema kura 17,500 + 5,500 = 23,000.
CCM kura 35,000/2 = 17,500.
CUF kura 11,000/2 = 5,500.