Mchange anafaa kwa sababu ni Muislam,Greyson pia ni kutoka kanda nyingine. Saanane hafai kwa sababu chama kitaonekana kimedhamiria kukumbatia uchagga.
Hata akichaguliwa atakuwa na makundi,atalipa visasi kwa watangulizi wake na wapinzani wake hasa hawa wabunge vijana ambao hawajamuunga mkono. Anaweza kuwalipizia kisasi kwenye uchaguzi wa ubunge 2015. Nimesoma nae india namjua.
Pia kuna mdau huku anaitwa Sizinga,mtetezi wangu nilipofungiwa na mods huku wengi mkiwa kimya.Ilikuwa ni njama ya kumlinda huyu jamaa nisimwage dataz zake,na siku hiyo kwenye uchaguzi nakujaHata kama ana CV nzuri,hatutaki tena tuonekane chama cha wachagga.
Kwenye masters yake ya international Relations hana first class, nimesikia mtu mmoja akiwa anasema huyu jamaa ana first class kwenye international Relation,huo ni uzushi.
Ukweli ni kwamba kwenye uchumi ana First class.Kwani masters moja ilikuwa haimtoshi hadi akaenda kujiharibia CV? Nitamwaga dataz zote. Uchafu wake wa Kuvuruga chaguzi za watu wa kenya tutauweka hapa. Kwanza inabidi mumwangalie sana kwenye uchaguzi huu,hasa kesho. Hizo ndizo mbinu zake
Nimekuwa nikisoma threads mbalimbali hapa JF zinazojaribu kuonyesha kuwa viongozi wa CHADEMA wana wagombea katika uchaguzi wa vijana. Sitaki kuwasemea wenzangu. Isipokuwa mimi sina mgombea na nimekataa katakata kuwa na mgombea yeyote kwa faida ya chama. Mgogoro uliotokea wakati wa David Kafulila baada ya kuwa amemshinda ndugu John Heche na hatimaye Kafulila kuondoka katika chama ulikuwa ni mgogoro mkubwa ambao ulikiyumbisha chama. Niliapa kwa mungu wangu kutojihusisha tena na kwa namna yeyote ile na makundi ya chama ili chama kiwe salama na tujiandae vema na uchaguzi ujao.
Ninaomba nisihusishwe kabisa na uchaguzi wa BAVICHA. Wagombea wote waliokuja kuniomba msaada nimewaambia kuwa sitaki kwani sitaki makundi. Kama kuna wengine na hasa wabunge wanasaidia baadhi ya wagombea miye siwezi kuwasemea.
Kuhakikisha sijihusishi na uchaguzi huu, niliamua kutohudhuria kikao chochote cha chama kitakachojadili majina na sijahudhudhuria na hata Kamati Kuu ya suala hilo sijahudhuria. Pia niliamua kutohudhuria uchaguzi wenyewe ingawa mimi ni mpiga kura. Sitahudhuria.
Nitafanya kazi na kiongozi yeyote ambaye vijana watamchagua kwa matakwa yao na nainaomba watu wanaogozwa na mazoea tu kuwa Zitto na Mbowe wana makambi waondokane na mawazo hayo kwani mimi sina kambi wala kundi and i have submitted myself to the existing leadership.
Wenye ugonjwa wa Zittophobiasis watafute dawa tu as i wont give you the lines to attack. All my efforts are directed towards party building.
Mgombea yeyote ambaye atajisema eti ni wa Zitto nawaomba vijana wamkatae na wachague mtu wa CHADEMA na sio mtu wa kundi lolote.
Nawatakia wagombea wote ushindi mwema na ninawatakia vijana wote wa CHADEMA uchaguzi makini utakaoonyesha sura chanya ya chama chetu.
Zitto Kabwe
Naibu Katibu Mkuu Taifa
Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni
Waziri Kivuli Fedha na Uchumi
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma.
Asante sana Hon. Zitto kwa maneno yako ya busara kuwa safari hii hutajihusisha na uchaguzi wa BAVICHA kwa vile uchaguzi uliopita ulivurugika na wewe kuhusishwa na vurugu hizo, umesema tena toka mchakato uanze hujahudhulia kikao chochote na hutahudhulia uchaguzi wenyewe ni uamuzi kweli mzuri.Nimekuwa nikisoma threads mbalimbali hapa JF zinazojaribu kuonyesha kuwa viongozi wa CHADEMA wana wagombea katika uchaguzi wa vijana. Sitaki kuwasemea wenzangu. Isipokuwa mimi sina mgombea na nimekataa katakata kuwa na mgombea yeyote kwa faida ya chama. Mgogoro uliotokea wakati wa David Kafulila baada ya kuwa amemshinda ndugu John Heche na hatimaye Kafulila kuondoka katika chama ulikuwa ni mgogoro mkubwa ambao ulikiyumbisha chama. Niliapa kwa mungu wangu kutojihusisha tena na kwa namna yeyote ile na makundi ya chama ili chama kiwe salama na tujiandae vema na uchaguzi ujao.
Ninaomba nisihusishwe kabisa na uchaguzi wa BAVICHA. Wagombea wote waliokuja kuniomba msaada nimewaambia kuwa sitaki kwani sitaki makundi. Kama kuna wengine na hasa wabunge wanasaidia baadhi ya wagombea miye siwezi kuwasemea.
Kuhakikisha sijihusishi na uchaguzi huu, niliamua kutohudhuria kikao chochote cha chama kitakachojadili majina na sijahudhudhuria na hata Kamati Kuu ya suala hilo sijahudhuria. Pia niliamua kutohudhuria uchaguzi wenyewe ingawa mimi ni mpiga kura. Sitahudhuria.
Nitafanya kazi na kiongozi yeyote ambaye vijana watamchagua kwa matakwa yao na nainaomba watu wanaogozwa na mazoea tu kuwa Zitto na Mbowe wana makambi waondokane na mawazo hayo kwani mimi sina kambi wala kundi and i have submitted myself to the existing leadership.
Wenye ugonjwa wa Zittophobiasis watafute dawa tu as i wont give you the lines to attack. All my efforts are directed towards party building.
Mgombea yeyote ambaye atajisema eti ni wa Zitto nawaomba vijana wamkatae na wachague mtu wa CHADEMA na sio mtu wa kundi lolote.
Nawatakia wagombea wote ushindi mwema na ninawatakia vijana wote wa CHADEMA uchaguzi makini utakaoonyesha sura chanya ya chama chetu.
Zitto Kabwe
Naibu Katibu Mkuu Taifa
Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni
Waziri Kivuli Fedha na Uchumi
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma.
Taarifa zilizopo; 1. Juliana Shonza 2. .......
Ben ni ukomavu gani unaosema Zitto kaonyesha kususia mchakato ni ukomavu na wewe ukichaguliwa halafu baadae ukasusia vikao unataka tukuone ni mkomavu kisiasa, na kama viongozi wote wakitoa msimamo kama huo nani basi atasimamia uchaguzi wenu. Mimi naona Zitto kaonyesha weakness fulani au ana kinyongo kutokana na matokeo ya uchaguzi uliopita kiongozi/kamanda huwa hasusii wapiganaji wake.Zitto,
Umeonyesha njia.Huo ni ukomavu wa hali ya juu kisiasa.Sasa wengine watoe misimamo yao ili kuepusha Makundi yasiyo na Tija,hatutaki speed governor katika harakati hizi za kuchukua Dola 2015
Zitto unanifurahisha kweli kwa nini unashangaa Juliana Shoza kutajwa au ulikuwa na maana gani tuseme basi kuna watu wako ambao unataka washinde ndiyo maana unashangaa kusikia mwingine akitajwa...........umeshangaa kusikia jina la Juliana na mimi nakushangaa unavyoshangaa..............Nami nimesikia nikashangaa!
Nimekuwa nikisoma threads mbalimbali hapa JF zinazojaribu kuonyesha kuwa viongozi wa CHADEMA wana wagombea katika uchaguzi wa vijana. Sitaki kuwasemea wenzangu. Isipokuwa mimi sina mgombea na nimekataa katakata kuwa na mgombea yeyote kwa faida ya chama. Mgogoro uliotokea wakati wa David Kafulila baada ya kuwa amemshinda ndugu John Heche na hatimaye Kafulila kuondoka katika chama ulikuwa ni mgogoro mkubwa ambao ulikiyumbisha chama. Niliapa kwa mungu wangu kutojihusisha tena na kwa namna yeyote ile na makundi ya chama ili chama kiwe salama na tujiandae vema na uchaguzi ujao.
Ninaomba nisihusishwe kabisa na uchaguzi wa BAVICHA. Wagombea wote waliokuja kuniomba msaada nimewaambia kuwa sitaki kwani sitaki makundi. Kama kuna wengine na hasa wabunge wanasaidia baadhi ya wagombea miye siwezi kuwasemea.
Kuhakikisha sijihusishi na uchaguzi huu, niliamua kutohudhuria kikao chochote cha chama kitakachojadili majina na sijahudhudhuria na hata Kamati Kuu ya suala hilo sijahudhuria. Pia niliamua kutohudhuria uchaguzi wenyewe ingawa mimi ni mpiga kura. Sitahudhuria.
Nitafanya kazi na kiongozi yeyote ambaye vijana watamchagua kwa matakwa yao na nainaomba watu wanaogozwa na mazoea tu kuwa Zitto na Mbowe wana makambi waondokane na mawazo hayo kwani mimi sina kambi wala kundi and i have submitted myself to the existing leadership.
Wenye ugonjwa wa Zittophobiasis watafute dawa tu as i wont give you the lines to attack. All my efforts are directed towards party building.
Mgombea yeyote ambaye atajisema eti ni wa Zitto nawaomba vijana wamkatae na wachague mtu wa CHADEMA na sio mtu wa kundi lolote.
Nawatakia wagombea wote ushindi mwema na ninawatakia vijana wote wa CHADEMA uchaguzi makini utakaoonyesha sura chanya ya chama chetu.
Zitto Kabwe
Naibu Katibu Mkuu Taifa
Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni
Waziri Kivuli Fedha na Uchumi
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma.
Ben ni ukomavu gani unaosema Zitto kaonyesha kususia mchakato ni ukomavu na wewe ukichaguliwa halafu baadae ukasusia vikao unataka tukuone ni mkomavu kisiasa, na kama viongozi wote wakitoa msimamo kama huo nani basi atasimamia uchaguzi wenu. Mimi naona Zitto kaonyesha weakness fulani au ana kinyongo kutokana na matokeo ya uchaguzi uliopita kiongozi/kamanda huwa hasusii wapiganaji wake.
Zitto unanifurahisha kweli kwa nini unashangaa Juliana Shoza kutajwa au ulikuwa na maana gani tuseme basi kuna watu wako ambao unataka washinde ndiyo maana unashangaa kusikia mwingine akitajwa...........umeshangaa kusikia jina la Juliana na mimi nakushangaa unavyoshangaa..............
mimi sina mgombea na nimekataa katakata kuwa na mgombea yeyote kwa faida ya chama. ..
Taarifa zilizopo; 1. Juliana Shonza 2. .......
Nami nimesikia nikashangaa!
Sawa lakini kama ameamua kujitenga na mambo ya uchaguzi kwa nini basi anashangaa anaposikia majina ya wengine yakitajwa tajwa kama yuko neutral kwa nini asikae kimya kusubiri matokeo? au alitaka asikie jina la nani ndipo asishangae, anapowashangaa wagombea wengine ina maana hayuko neutral hiyo ndiyo implication yake yeye kama kiongozi anapeleka ujumbe gani kwa Juliana na wagombea wengine kuwa Juliana hafai na Juliana atakuwa anamfikiriaje kiongozi wake Zitto.Hivi huyu Zitto ameumbwa na moyo wa chuma? Please give him a break! Ameeleza kwanini hajajihusisha kwamba anahisi his involvement inaweza tumiwa vibaya na wengine wenye evil thoughts na hivyo kuamua kufanya hivyo kwa dhamira njema kabis ili chama kisije ingia tena kwenye malumbano. Bado mna msukuma huku na kule as if yeye five senses zake zimetiwa ganzi. Achane hizo bwana mpeni nafasi na yeye ana moyo wa damu na nyama na kuona kuwa anathaminiwa na kupewa nafasi ya ku express feelings zake hasa kama alishapata bad experience ni sehemu ya demokrasia na uongozi uliotukuka. Ndiyo maana watu wakiwa na conflicting interest wana eleza na wanapewa nafasi ya kujiondoka katika involvement ya hizo issues. Tuache too much nagging, night picking and unecessary complains kwenye mambo ambayo yako wazi na yakueleweka na watu wazima.
Chadema mzee Mtei ametutoa mbali mamluki kwetu mwikle wao watakao ingia kwenye uongozi wa BAVICHA kwa kashfa na kama watakuwa Mamluki sisi kitengo muhimu cha CDM hatutavumilia kwani sisi tunaona Chama pekee ambacho kinatupatia uhuru na haki,amani na mwanga wa maisha ya baadaye ya watoto wetu ni CHADEMA.Nipo tayari kujitoa muhanga kwa ajili ya Uhai wa chama changu.NAOMBA WAGOMBEA WOTE WA UONGOZI NDANI YA BAVICHA KAMA KUNA YEYOTE ALIYETUMWA BASI AJIENGUE Mwenyewe kabla ajaingia kikaangoni.MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU WABARIKI VIJANA WA TANZANIA Na MUNGU IBARIKI CHADEMA Amen.
Sawa lakini kama ameamua kujitenga na mambo ya uchaguzi kwa nini basi anashangaa anaposikia majina ya wengine yakitajwa tajwa kama yuko neutral kwa nini asikae kimya kusubiri matokeo? au alitaka asikie jina la nani ndipo asishangae, anapowashangaa wagombea wengine ina maana hayuko neutral hiyo ndiyo implication yake yeye kama kiongozi anapeleka ujumbe gani kwa Juliana na wagombea wengine kuwa Juliana hafai na Juliana atakuwa anamfikiriaje kiongozi wake Zitto.