habari za hivi punde kutoka kwa mzee wa vijisenti ni kwamba, ameshinikizwa sana kujiuzulu. Ila ametamka wazi kwa watu wake wa karibu mm nikiwa mmoja wao, kwamba, akiondoka, anaondoka moja kwa moja hadi ubunge. Mzee anaogopa JK akammaliza kwa maana anafahamu madhambi mengi sana ya JK ambayo anaweza kulazimika kuyamwaga hadharani. Tulipoongea mwisho, kama kawaida alikuwa na dharau sana na hasira kwa mwenyekiti. Ameapa, mwendo ni ule ule wa RA. Akilazimishwa kung'oka ni mpaka ubunge... habari ndo hiyo. LA haguswi kariba robo tatu ya wana CC ni washirika wake. Akitoka naye JK anaondoka
Una maana AC hatakubali kubakiwa na ubunge kwa kuwa anaogopa kumalizwa kwa maana anafahamu madhambi mengi ya JK?Kumalizwa huko ni kwa namna gani?Kuuwawa bungeni ama kumalizwa kisiasa?habari za hivi punde kutoka kwa mzee wa vijisenti ni kwamba, ameshinikizwa sana kujiuzulu. Ila ametamka wazi kwa watu wake wa karibu mm nikiwa mmoja wao, kwamba, akiondoka, anaondoka moja kwa moja hadi ubunge. Mzee anaogopa JK akammaliza kwa maana anafahamu madhambi mengi sana ya JK ambayo anaweza kulazimika kuyamwaga hadharani. Tulipoongea mwisho, kama kawaida alikuwa na dharau sana na hasira kwa mwenyekiti. Ameapa, mwendo ni ule ule wa RA. Akilazimishwa kung'oka ni mpaka ubunge... habari ndo hiyo. LA haguswi kariba robo tatu ya wana CC ni washirika wake. Akitoka naye JK anaondoka
Kikao kinaendelea, JK hataki kumaliza kikao kwa kuwa hakuna muafaka mpaka sasa. Wajumbe wakali sana, nape kama hakujiuzulu baada ya kikao cha leo mtaniambia.
Jk kweli ni mwoga wa kufanya maamuzi magumu. Chenge ni Jeuri kweli, haonyeshi kabisa heshima hata kidogo kwa mwenyekiti wake, kifupi anamdharau sana. Nape kaongea mara moja tu, juu ya kuwasilisha taarifa ya hali ya kisiasa nchini. Ila amepata upinzani mkubwa kutoka kwa wajumbe mbali mbali, mwenyekiti wa ccm mkoa wa dar es salaam ameonyesha dhahiri kwamba haungi mkono harakati zote za nape,
Kazi kweli kweli[/QUOTE
hivi guninita naye ni mjumbe wa cc?simuoni kwenye listi ameingiaje?
tupo pamoja mkuu lazima wangoke wote
Kuna mtu kanipigia simu na kuweka loud: lowassa anaongea sasa anasema ataondoka endapo atapewa nafasi yakuongea yala anayoyafahamu kuhusu uchumi wa nchi na ushiriki wa chama toka 2005 mpaka sasa kimaendeleo. Ila simu imekatika
Kuna mtu kanipigia simu na kuweka loud: lowassa anaongea sasa anasema ataondoka endapo atapewa nafasi yakuongea yala anayoyafahamu kuhusu uchumi wa nchi na ushiriki wa chama toka 2005 mpaka sasa kimaendeleo. Ila simu imekatika
mkuu EL haongei sasa
Kikao kinaendelea, JK hataki kumaliza kikao kwa kuwa hakuna muafaka mpaka sasa. Wajumbe wakali sana, nape kama hakujiuzulu baada ya kikao cha leo mtaniambia.
Jk kweli ni mwoga wa kufanya maamuzi magumu. Chenge ni Jeuri kweli, haonyeshi kabisa heshima hata kidogo kwa mwenyekiti wake, kifupi anamdharau sana. Nape kaongea mara moja tu, juu ya kuwasilisha taarifa ya hali ya kisiasa nchini. Ila amepata upinzani mkubwa kutoka kwa wajumbe mbali mbali, mwenyekiti wa ccm mkoa wa dar es salaam ameonyesha dhahiri kwamba haungi mkono harakati zote za nape,
Kazi kweli kweli[/QUOTE
hivi guninita naye ni mjumbe wa cc?simuoni kwenye listi ameingiaje?
Mkuu hata mimi sio mjumbe wa cc, ila nipo dodoma, hao niliowataja si wote wamo kikaoni, hao ndio wanao tu up date, nimewataja wengi hapa, Membe yupo, guninita, makalla, Masha, na hawajalala bado
mkuu EL haongei sasa
Tupo pamoja mkuu na zaidi pole aisee na aminia kwa mihabari na sasa ni saa sita na dk nane ya tar 1
Nina mashaka na source yako juzi ulituambia umeongea na Lema kwenye simu kuwa anamkutano Arusha J3 leo unasema umemsikia Lowassa akiongea kwenye simu wakati wengine wanasema yuko kimya si ujanja kudanganya watu kama huna source unasoma za wengine.Kuna mtu kanipigia simu na kuweka loud: lowassa anaongea sasa anasema ataondoka endapo atapewa nafasi yakuongea yala anayoyafahamu kuhusu uchumi wa nchi na ushiriki wa chama toka 2005 mpaka sasa kimaendeleo. Ila simu imekatika
Kikwete yupi huyo? labda huyu aliyefunga ndoa juzi ikuluKikwete awatimue wote then CCM wajipange upya...(ikiwezekana lkn)