Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,611
- 21,135
Upo misinformed then. Wakifukuzwa, kuna kitu inaitwa BARAZA KUU linakaa na “kubariki” maamuzi yale.Chadema washawafukuza hao wachumia tumbo 19.
Baraza kuu inabidi likae na kujadiri hatma ya wale 19 na uhalali wa Aida Khenani kuwa Bungeni wakati huohuo Chama kinaona si sawa kupeleka wabunge wa viti maalumu.
Hii issue haiwezi kuachwa ikihang hewani tu.