Kamati kuu CHADEMA mnakosea sana

Kamati kuu CHADEMA mnakosea sana

Wito wangu: You need to be smarter in this war, otherwise you will lose before the war itself.

Sometimes war ends through compromising way...

It's neither COVID 19 nor the Party will lose anything...

Sometimes retreat is the best strategy in wars to avoid casualties...
 
Naandika kwa masikitiko makubwa sana.

Hivi kama hao covid-19 mliwavua uanachama harakaharaka kwa kuwa lilikuwa ni jambo nyeti na dharula, iweje sasa mnachelea kukaa kikao Cha Baraza kuu ili kutoa uamuzi?

Jambo la pili,sioni kama mna nia ya kufungua kesi mahakamani ili kuwashitaki wahusika wa sakata hili feki la kuwapeleka covid-19 bungeni.

Wito wangu: You need to be smarter in this war, otherwise you will lose before the war itself.
Huwezi amini Inawezekana kamati kuu ndio iliidhinisha hao Covid19 waende bungeni.Siasa sanaa.Maamuzi yanaweza tolewa 2024 /25.
 
Chadema chama ilikufa enzi za akina slaa hivi sasa kuna kikundi cha wafanyabiashara saccos!
Shaka s.shaka yule aliyesimamishwa na jiwe la chunvi ameolewa na mprlembwe wa tanga. Yaani mwanaume kamuo mwanaume kiongozi wa Ccm mwanaume
 
Naandika kwa masikitiko makubwa sana.

Hivi kama hao covid-19 mliwavua uanachama harakaharaka kwa kuwa lilikuwa ni jambo nyeti na dharula, iweje sasa mnachelea kukaa kikao Cha Baraza kuu ili kutoa uamuzi?

Jambo la pili,sioni kama mna nia ya kufungua kesi mahakamani ili kuwashitaki wahusika wa sakata hili feki la kuwapeleka covid-19 bungeni.

Wito wangu: You need to be smarter in this war, otherwise you will lose before the war itself.

Kuitisha Baraza kuu si jambo rahisi kama unavyofikiri.Linahitaji rasilimali pesa na maandalizi ya kutosha.Pia haliwezi kuitishwa kwa ajenda moja ya kina Mdee tu.Tasfiri ya kilichofanyika kamati kuu,maana ya kamati kuu ilikasimu madaraka yake toka Baraza Kuu.Hiyo ina maana imefanya maamuzi kwa niaba ya Baraza Kuu.Baraza kuu itafanya marejeo tu ya taratibu/sheria .
 
Naandika kwa masikitiko makubwa sana.

Hivi kama hao covid-19 mliwavua uanachama harakaharaka kwa kuwa lilikuwa ni jambo nyeti na dharula, iweje sasa mnachelea kukaa kikao Cha Baraza kuu ili kutoa uamuzi?

Jambo la pili,sioni kama mna nia ya kufungua kesi mahakamani ili kuwashitaki wahusika wa sakata hili feki la kuwapeleka covid-19 bungeni.

Wito wangu: You need to be smarter in this war, otherwise you will lose before the war itself.
Vaaa barakoa
Mwenyekiti wenu ameshachanjwa
 
Upo misinformed then. Wakifukuzwa, kuna kitu inaitwa BARAZA KUU linakaa na “kubariki” maamuzi yale.

Baraza kuu inabidi likae na kujadiri hatma ya wale 19 na uhalali wa Aida Khenani kuwa Bungeni wakati huohuo Chama kinaona si sawa kupeleka wabunge wa viti maalumu.

Hii issue haiwezi kuachwa ikihang hewani tu.
Baraza kuu linangoja nini kukaa, kwa kifupi wanangoja au wanangoja swala lipoe walipotezee
 
Baraza kuu linangoja nini kukaa, kwa kifupi wanangoja au wanangoja swala lipoe walipotezee

Kiutaratibu Baraza Kuu hukaa mara 4 kwa mwaka.Lina ratiba maamuzi.Otherwise,kutokee suala la dhalula kubwa ambalo haliwezi kuamuliwa na Kamati Kuu.Ni masuala machache sana ambayo Kamati Kuu haiwezi kuamua kwa niaba ya Baraza kuu
 
Kiutaratibu Baraza Kuu hukaa mara 4 kwa mwaka.Lina ratiba maamuzi.Otherwise,kutokee suala la dhalula kubwa ambalo haliwezi kuamuliwa na Kamati Kuu.Ni masuala machache sana ambayo Kamati Kuu haiwezi kuamua kwa niaba ya Baraza kuu

Ratiba maalumu
 
Kiutaratibu Baraza Kuu hukaa mara 4 kwa mwaka.Lina ratiba maamuzi.Otherwise,kutokee suala la dhalula kubwa ambalo haliwezi kuamuliwa na Kamati Kuu.Ni masuala machache sana ambayo Kamati Kuu haiwezi kuamua kwa niaba ya Baraza kuu
Hili swala ni la dharula walipaswa wakae mapema madhara yake ni makubwa wakichelewa kutoa maamuzi
 
This time the whole electoral process was marred with incurable defects.
True. Thats why ilipaswa kuzuia wote kuingia bungeni, including dada Aida Khenani ili kuepuka talk of double standards.
 
True. Thats why ilipaswa kuzuia wote kuingia bungeni, including dada Aida Khenani ili kuepuka talk of double standards.
Hata kama CHADEMA watamuacha Aida Khenan nani aliwateua kina Mdee kwenda bungeni bila idhini ya Kamati Kuu ?
 
Hata kama CHADEMA watamuacha Aida Khenan nani aliwateua kina Mdee kwenda bungeni bila idhini ya Kamati Kuu ?
Kwa nini wamuache Aida Bungeni ilihali na yeye kapatikana kwenye ileile haramu?

Who knows? Labda kina Halima waliona uongozi unayumba tu na unashindwa kusimamia maamuzi yake wakaona na wao wajipeleke.
 
Kwa nini wamuache Aida Bungeni ilihali na yeye kapatikana kwenye ileile haramu?

Who knows? Labda kina Halima waliona uongozi unayumba tu na unashindwa kusimamia maamuzi yake wakaona na wao wajipeleke.
Walivunja taratibu za chama
 
Chadema chama ilikufa enzi za akina slaa hivi sasa kuna kikundi cha wafanyabiashara saccos!
Inaandika kama umetoka kufanyiwa vipimo vipya vya korona!
Mabwana zako wanahaha kuona jinsi chama kilivyo imara hadi kuikataa ruzuku wewe unapitisha pitisha vihoja vyako vilivyopitwa na wakati!
 
Back
Top Bottom