UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 10,048
- 9,342
Wamwandikie kumtaarifu spika basi! Mbona hawajaandika?Chadema washawafukuza hao wachumia tumbo 19.
Wamwandikie kumtaarifu spika basi! Mbona hawajaandika?Chadema washawafukuza hao wachumia tumbo 19.
Ni kupoteza muda mkuu wale wabunge wana baraka zote za sabufa na komwe!!!Wamwandikie kumtaarifu spika basi! Mbona hawajaandika?
Nani kakwambia imekatalia mbele ya waandishi wa habari kuna mtu pale wa kuwacha pesa ndio maana wanawazuga kuwafukuza wabunge wanashindwa kujibu rufaa wakati ukweli wanaujua wale wote ni mahawara zao kweli wajinga ndio waliwao!Inaandika kama umetoka kufanyiwa vipimo vipya vya korona!
Mabwana zako wanahaha kuona jinsi chama kilivyo imara hadi kuikataa ruzuku wewe unapitisha pitisha vihoja vyako vilivyopitwa na wakati!