MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,097
- 35,474
Mlipokuwa mkihoji mikutano ya ACT pesa inatoka wapi zilikuwa zinawahusu?Kwani wewe zinakuhusu nini?
Mlipokuwa mkihoji mikutano ya ACT pesa inatoka wapi zilikuwa zinawahusu?Kwani wewe zinakuhusu nini?
Watamjadili Khalid Kagenzi?
Nduguyangu punguza mahaba kwanza ndio umpime mtu,hata mimi nilikuwa mshabiki sana Wa Zitto tena huenda kuliko wewe lakini alivyoanza mamboyake ya hovyo nikamwacha,Mimi ni muha tena Original na kamwe sintomuunga mkono mtu kwa sababu eti tunatoka pamoja isipokuwa kwa kutuweka pamoja Watanzania ambavyo Zitto badala yake anatugawa[/QUOTE]Kamgawa nani? kivipi? kuwa muha mm sikuwa na mahaba na ztt, tuna angalia ukweli wamambo na sikila jukwaa watu washindwe kutoa yamuhim kwa wananch wanakalia zito ztto ndo nn[QUOT E=MOTOCHINI;12627925]Nivizuri wewe kunitukana japo sivyema kunitukana, nachokueleza mm mwenyewe nimzaliwa wa kigoma, ujiji mnaz mmoja, nikiwa shule NYARUBANDA shonge, Nimemfaham zitto tangu hajawa mgombea dhid ya KAHENA, Sinashaka na kusaidiwa na mtu kwan nikawaida ktk mafanikio huwezi kuyapata bila kupitia kwa mtu bak, mada ipo ktk utatuzi wa mgogoro unao pelekea kila siku majukwaani hakun lamaana zaid ya chuki na ztt, ww umekuja kunitukana ila mm kutukana mwiko.
Hatajadiliwa kabisa. Hayupo kwenye agenda na hata kwenye mengineyo!!
Kwamaelezo hayo! bado sana nduguZitto akigombea Jimbo la watu Makini lazima akose Ubunge kwa sababu hawezi kupenya Nguvu ya UKAWA na CCM.Uchaguzi uliopita alimshida Mgombea wa CCM kwa kura chache sana.Mwaka huu za CCM zipo palepale na za kwake anagawana na UKAWA.
Upo kwenye Kamati Kuu?
Wewe ulitaka huyo hawepo wapi?
Tunasubiri press release
Mnakwepa hilo swali lakini ni muhimu sana.
Hivi huoni umuhimu wa Khalid Kagenzi na image ya chadema?
Kwa aliyofanyiwa makao makuu ya chadema, kuna Mtanzania mpenda maadili akaichaguwa chadema?
Nnawaza, jee, alikuwa utumwani?[/QUOT
Kwani serikali imeumiza wangapi?
Mnakwepa hilo swali lakini ni muhimu sana.
Hivi huoni umuhimu wa Khalid Kagenzi na image ya chadema?
Kwa aliyofanyiwa makao makuu ya chadema, kuna Mtanzania mpenda maadili akaichaguwa chadema?
Nnawaza, jee, alikuwa utumwani?[/QUOT
Kwani serikali imeumiza wangapi?
Si kuumiza tu. Wanateka. Wanatesa na kuua. Hadi wamefikia kiwango cha kuogopa hata kutumia sheria zilizopo kama vile kuunda Tume ya Kijaji/Kimahakama kuchunguza vifo tata.
The guilty are afraid...