Kamati Kuu CHADEMA kukutana Dar

Kamati Kuu CHADEMA kukutana Dar

Tunasubiri tamko kuhusu uteswaji wa Khalid Kagenzi.
 
attachment.php


Hawa walidanganywa na mchawi wao wakiingia ukumbini wabane midomo na watazame kulia.

Kw kwi kwi kwi teh teh teh.
 
attachment.php


Hawa walidanganywa na mchawi wao wakiingia ukumbini wabane midomo na watazame kulia.

Kw kwi kwi kwi teh teh teh.
Wewe endelee imani zako za uchawi sisi tunaendelea kusonga mbele na mipango ya kujiandaa kuingia madarakani mwaka huu.
 
Tunasubiri tamko kuhusu uteswaji wa Khalid Kagenzi.

Sijui ni uvivu wa kusoma au kutokuelewa au upeo mdogo wa kufikiri ndipo vinachangia kuandika vitu ambavyo vipo ndani ya mada kwani hujasoma ajenda za kikao?
 
Sijui ni uvivu wa kusoma au kutokuelewa au upeo mdogo wa kufikiri ndipo vinachangia kuandika vitu ambavyo vipo ndani ya mada kwani hujasoma ajenda za kikao?

Agenda si msahafu.

Isitoshe, namba 1 na namba 3 linazungumzika hilo na ntaona ajabu kama hilo halijazungumzwa. Ina maana wajumbe wote wa kamati kuu hawataki ufafanuzi wa uteswaji huo wa Kagenzi ndani ya Makao Makuu ya Chadema?

Itakuwa ni kitu cha ajabu sana.
 
yani cdm imetoa ajira kwa huyu muislam lakini bado ananyea kambi. nyie watu mmelogwa?

Haikutowa ajira kama msaada, imetowa ajira kwa ujuzi wake. Uislam wake unahusu nini hapa? au kwa kuwa anaitwa Khalid tu?

Jee, kuchukuwa hatua za kumhukumu na kumtesa nayo ni katika majukumu ya chadema? na hilo wana chadema hamtaki kujuwa ukweli wake? hamtaki kamati kuu iwaeleze kama hilo lilifanyika ni jukumu la chadema?

Ikiwa makao makuu ya chadema leo, kama chama tu, kinatesa wafanyakazi wanaotakiwa "wamalizane" na Josefina na Katibu Mkuu, halafu bado mnatetea huo uozo?

Mnanishangaza sana na mtaendelea kunishangaza kama hilo halijaongelewa na kamati kuu.
 
Haikutowa ajira kama msaada, imetowa ajira kwa ujuzi wake. Uislam wake unahusu nini hapa? au kwa kuwa anaitwa Khalid tu?

Jee, kuchukuwa hatua za kumhukumu na kumtesa nayo ni katika majukumu ya chadema? na hilo wana chadema hamtaki kujuwa ukweli wake? hamtaki kamati kuu iwaeleze kama hilo lilifanyika ni jukumu la chadema?

Ikiwa makao makuu ya chadema leo, kama chama tu, kinatesa wafanyakazi wanaotakiwa "wamalizane" na Josefina na Katibu Mkuu, halafu bado mnatetea huo uozo?

Mnanishangaza sana na mtaendelea kunishangaza kama hilo halijaongelewa na kamati kuu.

Faiza huyo ni CCM mwenzenu anayejifanya mpinzani akiwa na shabaha mahsusi ya kuwatia hasira Waislamu kama wewe muendelee kuichukia CHADEMA.
 
Haikutowa ajira kama msaada, imetowa ajira kwa ujuzi wake. Uislam wake unahusu nini hapa? au kwa kuwa anaitwa Khalid tu?

Jee, kuchukuwa hatua za kumhukumu na kumtesa nayo ni katika majukumu ya chadema? na hilo wana chadema hamtaki kujuwa ukweli wake? hamtaki kamati kuu iwaeleze kama hilo lilifanyika ni jukumu la chadema?

Ikiwa makao makuu ya chadema leo, kama chama tu, kinatesa wafanyakazi wanaotakiwa "wamalizane" na Josefina na Katibu Mkuu, halafu bado mnatetea huo uozo?

Mnanishangaza sana na mtaendelea kunishangaza kama hilo halijaongelewa na kamati kuu.
Kamati kuu pamoja na mambo mengine ya msingi, inaongelea pia huu mchakato wa ccm wa kutaka kumwongezea Kikwete muda kisa tu ccm wanahofia hawajajipanga kukabiliana na UKAWA
 
Back
Top Bottom