NAKUJIBU:
Acha fikra MGANDO, siasa ni Dynamic na ni Game of Opportunity unatupa karata kulingana na mchezo.
Waulize CCM, Mahama ya KADHI iko wapi?
Walitumia karata hiyo 2005, leo ni miaka 10, na jamaa huyoooo!
Changanya maswali yako yote kwenye hili jibu, halafu kajiunge ACT usiende CDM.
Posho za kikao ni sh. ngapi?
Nivizuri wewe kunitukana japo sivyema kunitukana, nachokueleza mm mwenyewe nimzaliwa wa kigoma, ujiji mnaz mmoja, nikiwa shule NYARUBANDA shonge, Nimemfaham zitto tangu hajawa mgombea dhid ya KAHENA, Sinashaka na kusaidiwa na mtu kwan nikawaida ktk mafanikio huwezi kuyapata bila kupitia kwa mtu bak, mada ipo ktk utatuzi wa mgogoro unao pelekea kila siku majukwaani hakun lamaana zaid ya chuki na ztt, ww umekuja kunitukana ila mm kutukana mwiko.
Kamulize babu kipara aka Tembo Man
Nivizuri wewe kunitukana japo sivyema kunitukana, nachokueleza mm mwenyewe nimzaliwa wa kigoma, ujiji mnaz mmoja, nikiwa shule NYARUBANDA shonge, Nimemfaham zitto tangu hajawa mgombea dhid ya KAHENA, Sinashaka na kusaidiwa na mtu kwan nikawaida ktk mafanikio huwezi kuyapata bila kupitia kwa mtu bak, mada ipo ktk utatuzi wa mgogoro unao pelekea kila siku majukwaani hakun lamaana zaid ya chuki na ztt, ww umekuja kunitukana ila mm kutukana mwiko.
Kwani kuulizia posho za kikao ni usaliti?
Vipi kuhusu kagenzi na zitto chadema watamjadili tena na kumwazimia?
Posho za kikao ni sh. ngapi?
Kila heri makamanda Mungu akawasimamie naona team ya ccm wameshaanza kupaniki.
Kwazito kupotea ndugu halipo na hatakama ikitokea jua watapotea weng maana wamegeuza ku disgust kila jambo ambalo lipo tofaut na kile wakitakacho waoNdugu yanguZi-tto anatumika kuhujumu Upinzani.Ni mpenda Sifa na Madaraka.Asipochanga vizuri Karata zake,atapotea kwenye Ulingo wa Siasa.
Ndio utambue kuwa nimtihan hawa watu wao waache wa sardonic mambo ya msing watajua motowakeKwani kuulizia posho za kikao ni usaliti?
Delete
Kwazito kupotea ndugu halipo na hatakama ikitokea jua watapotea weng maana wamegeuza ku disgust kila jambo ambalo lipo tofaut na kile wakitakacho wao
Huko nikujidanganya najua hapo umetusifia bila ya kueleza mojakwa moja, maana hayo ukitaka nikujibu hee ntakosea na kuudhi wengine kwa kufuata fikra zako hizo ok nieleze what's your verdict?Watu wa Kigoma asiliyao ni usaliti(vibaraka), iwe kwenye mapenzi, michezoni au kwenye siasa! Angalia kwenye siasa mlolongo wa wasaliti wote wengi wao wanatokea kigoma! Akina Dr Warid Amani Kaborou, akina Zitto Zuberi Kabwe, akina David Kafulila, akina Naseeb Abdul, akina Juma Kaseja, akina Nsanzugwako na wengine wengi tu kwenye tasnia tofauti!