swali gumu hili kwa molemo. Anatamani kukujibu lakini hajui akujibu nini
wagumu ni ninyi kuelewa! Mbona agenda zitakazojadiliwa zimeainiswa? Suala la kagenzi kajadilini ninyi.
swali gumu hili kwa molemo. Anatamani kukujibu lakini hajui akujibu nini
Naona bavichaa mpaka sasa mnashindwa kujibu swali rahisi sana, jibu ni ndiyo au hapana.
Ndugu mambo gani aliyo yafanya zitto? hamja wai mtimua kafulila, hamjawai msema vibaya mbatia? hamjawai ikashfu cuf? leo yako wapi? tatizo lazito ni mbowe na si cdm hilo kubari
Zitto hana umimi kama angelikuwanao pangetosha, zitto nimwanasiasa mwenye busara sana, mmemsema sana lakin kamwe amejibu kiustadi kuliko huyo mbowe, kutulia ztt hawezi tulia kwani yeye ameumbiwa siasa na kwakuwa ninyi mmeamua siasa za chuki huoni akitulia mtaimaliza nchi kwa kuwapandikiza watu chukiMkuu ebu acha uvivu...Zitto alianzisha kikosi kazi cha mapinduzi akiwa bado ni kiongozi anayeaminika wa CDM...Pengine ifike kipindi mshaurini Zitto atulie asuburi muda wake ukifika...pia apunguze umimi...??
Hivi kwa nini unapenda kutumi muda kwa ubishi usiokuwa na tija?
Unalazimisha agenda zako ziwekwe kwenye mkutano wewe nani?
Unajua kusoma. Umesoma agenda zote zitakazojadiliwa zimewekwa bayana.
Hiyo ya Kagenzi,Kwenye agenda za CHADEMA, haimo. Kama ni agenda yako, itisha wewe mkutano wako ujadili.
Clear?
Tutaendeleni kuwaletea habari zinazotakiwa kuwafikia watanzania wote kwa ujumla kuhusu Chama chao pendwa ChademaKwani Pro wa cdm ni nani?molemo au tumaini makene? au molemo ndio tumaini makene?
Cdm badilikeni,chama makini hufanya kazi Kwa umakini,sio kila mtu anakuwa msemaji wa chama.
Ni ushauri tu!
Kwanini iwe ndiyo au hapana
Mnakwepa hilo swali lakini ni muhimu sana.
Hivi huoni umuhimu wa Khalid Kagenzi na image ya chadema?
Kwa aliyofanyiwa makao makuu ya chadema, kuna Mtanzania mpenda maadili akaichaguwa chadema?
Nnawaza, jee, alikuwa utumwani?
Hatujadili watu chakavu hao wanajadiliwa na wale fisi wenu pale Lumumba
kawaulize wazee wa fisi maana ndio wanampa usakatonge kwa mda huu sisi tunakomboa nchi kutoka kwa mkoloni mweusiHiyo issue ni kubwa kuliko unavyofikiria, hivi hataki kuwajulisha Watanzania kwanini mkafikia kumminya korodani Kagenzi ndani ya ofisini zenu za makao makuu?
Jee, Mwenyekiti alikuwepo ofisini wakati hayo yanafanyika? alihusika?
tunataka taarifa ya mapato na matumizi na sio bla blaa..
Lazima mutumie thread zinazohusu chadema kumpromote maiti wa kisiasa duh anauzwa lakini hauziki Tanzania nzima na dunia nzima wamjua msaliti mroho wa madaraka mla rushwaZitto hana umimi kama angelikuwanao pangetosha, zitto nimwanasiasa mwenye busara sana, mmemsema sana lakin kamwe amejibu kiustadi kuliko huyo mbowe, kutulia ztt hawezi tulia kwani yeye ameumbiwa siasa na kwakuwa ninyi mmeamua siasa za chuki huoni akitulia mtaimaliza nchi kwa kuwapandikiza watu chuki
Kamanda Molemo hawa ccm na michepuko yao wanataka sana kujua Molemo, Chademakwanza ni nani ninawambia hivi tutaendelea kuwajua kinacholetwa na chama makini na pendwa cha ukombozi wa kweli Tanzania nzima ChademaYote uliyosema kuhusu Molemo yanaweza kuwa majibu sahihi.
Watamjadili Khalid Kagenzi?
This is too low from you Mpenzi