macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 22,110
- 40,266
Hivi watu wengine huwa mna akili zenu au mmeshavuta vya kuvuta. Yaani wewe kwa akili yako mtoto wa Rais ana nguvu/heshima ama hadhi yoyote kama kiongozi wa serikali ama vinginevyo? Yaani watu wengine kama hamna vya kuongea embu chukua pipi umng'unye uwaache watu wenye hoja waandike mambo ya maana. Ati kwa kuwa ni mtoto wa Rais basi afanye atakalo? EBO!. Nyamaza na tulia kabisa, usilete tena upuuzi kama huu jamvini, just shut the hell up.
Sina hela ya kununua pipi mkuu !!!