Kwani watu hawalipi kodi? Mbona hivyo mkuu...Elimu Bure ...Hamna michango
Yaani ni kama enzi za kodi ya kichwaWana selo. Huko ndiko inakoarifiwa wengine wamelala.
Walioshindwa kulipa wamelazimika kutimua mbio kwenda mafichoni.
Boda boda imebidi kughairi kazi.
Mitano ya ukweli!
Changieni maendeleo acheni kulialia.
Kodi ni wajibu, usitake kuhoji sana.
K
Kuna vitu. Mnanalalamika kumbe wamekaa wenyew na wakakubaliana kabis alafu mnaleta lwama huko pambanane na hal zen
Sawa "Saccos" ndio yenyeweMabibi na mabwana hii imekaa je.
Pana habari tokea pande za wilaya ya Ngara kuwa wanakamatwa watu hovyo kisa 10,000/= michango ya ujenzi wa shule hasa pande za kule Rusumo.
Sheria zipi zinazohalalisha unyanyasaji huu? Au ni moja ya zile amsha amsha katika ziara ya lile jembe letu mkoani Kagera katika mitano hii?
Kulikoni hizi sera hatuoni zinapaka matope kwenye ile mitano tena hasa pale tunaposubiria midege mingine tuliyokwisha lipa kwa cash money?
Ikumbukwe pia kuwa wengi wa hawa wanaokamatwa ndiyo wale waliopiga kura za ndiyo kweli kweli.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Hata Mleba-Nshamba mwenyekiti wa Kijiji na namatumaini yake wanapita nyumba kwa nyumba !!!
Elimu Ni ufunguo wa maisha.
Tuchangie maendeleo ya Taifa letu.
Maendeleo hayana vyama.