Tetesi: Kamata kamata michango ya ujenzi wa shule Kagera

Wana selo. Huko ndiko inakoarifiwa wengine wamelala.

Walioshindwa kulipa wamelazimika kutimua mbio kwenda mafichoni.

Boda boda imebidi kughairi kazi.

Mitano ya ukweli!
Yaani ni kama enzi za kodi ya kichwa
 
K
Kuna vitu. Mnanalalamika kumbe wamekaa wenyew na wakakubaliana kabis alafu mnaleta lwama huko pambanane na hal zen

Kwamba walikaa wenyewe wakikubaliana? Hakuna kitu kama hicho.

Kinachoonekana huko ni kilio na kusaga meno.
 
Mabibi na mabwana hii imekaa je.

Pana habari tokea pande za wilaya ya Ngara kuwa wanakamatwa watu hovyo kisa 10,000/= michango ya ujenzi wa shule hasa pande za kule Rusumo.

Sheria zipi zinazohalalisha unyanyasaji huu? Au ni moja ya zile amsha amsha katika ziara ya lile jembe letu mkoani Kagera katika mitano hii?

Kulikoni hizi sera hatuoni zinapaka matope kwenye ile mitano tena hasa pale tunaposubiria midege mingine tuliyokwisha lipa kwa cash money?

Ikumbukwe pia kuwa wengi wa hawa wanaokamatwa ndiyo wale waliopiga kura za ndiyo kweli kweli.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Sawa "Saccos" ndio yenyewe
 
Elimu Ni ufunguo wa maisha.
Tuchangie maendeleo ya Taifa letu.
Maendeleo hayana vyama.
 
Elimu Ni ufunguo wa maisha.
Tuchangie maendeleo ya Taifa letu.
Maendeleo hayana vyama.

Maendeleo ya taifa ni kwa kuchangiwa tu? Hayawezi kuwa vipaumbele dhidi ya miradi mingine kama midege au miviwanja ya ndege uchwara vijijini?
 
Back
Top Bottom