Mabibi na mabwana hii imekaa je.
Pana habari tokea pande za wilaya ya Ngara kuwa wanakamatwa watu hovyo kisa 10,000/= michango ya ujenzi wa shule hasa pande za kule Rusumo.
Sheria zipi zinazohalalisha unyanyasaji huu? Au ni moja ya zile amsha amsha katika ziara ya lile jembe letu mkoani Kagera katika mitano hii?
Kulikoni hizi sera hatuoni zinapaka matope kwenye ile mitano tena hasa pale tunaposubiria midege mingine tuliyokwisha lipa kwa cash money?
Ikumbukwe pia kuwa wengi wa hawa wanaokamatwa ndiyo wale waliopiga kura za ndiyo kweli kweli.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Pana habari tokea pande za wilaya ya Ngara kuwa wanakamatwa watu hovyo kisa 10,000/= michango ya ujenzi wa shule hasa pande za kule Rusumo.
Sheria zipi zinazohalalisha unyanyasaji huu? Au ni moja ya zile amsha amsha katika ziara ya lile jembe letu mkoani Kagera katika mitano hii?
Kulikoni hizi sera hatuoni zinapaka matope kwenye ile mitano tena hasa pale tunaposubiria midege mingine tuliyokwisha lipa kwa cash money?
Ikumbukwe pia kuwa wengi wa hawa wanaokamatwa ndiyo wale waliopiga kura za ndiyo kweli kweli.
Au nasema uongo ndugu zangu?