Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,798
- 12,240
Ukweli lazima usemwe bila woga bila kamari nchi hii hakuna maisha, iwe kwa vijana au wazee wake kwa waume! Kamari imekuwa tegemeo la uchumi na mapato ya serikali.
Bila kamari vyombo vyote vya habari ikiwemo TBC haviwezi kulipa mishahara ya watumishi wao. Bila kamari serikali haiwezi kulipa mishahara ya watumishi wake.
Hakika kamari ni ukombozi wa Taifa!
Bila kamari vyombo vyote vya habari ikiwemo TBC haviwezi kulipa mishahara ya watumishi wao. Bila kamari serikali haiwezi kulipa mishahara ya watumishi wake.
Hakika kamari ni ukombozi wa Taifa!