Kamanda Mpinga tunaomba ufafanuzi

Kamanda Mpinga tunaomba ufafanuzi

Nilikuwa na fog light zilizokuja na gari, juzijuzi nikakamatwa, nikawalipa buku 30 baada ya mabishano makali sana, nimezindoa sitaki lawama wala ugomvi
 
Mkuu hutaki gari lako lipendeze..teheteheteheee
Mzee, huku kupendezesha kwa kujikarahisha mimi siwezi. Gharama zisizo na msingi hazina maana na maisha yenyewe yamekuwa magumu sana, inaumiza sana unapoitoa pesa bila sababu maalum.
 
Tangazo ulishasikia na taa haziwaki si uzitoe sasa kama amri ya Kamanda Mpinga alivyoitoa.

Ukiendesha gari nite halafu ukapigwa Nazo usoni mkiwa mnapishana ndo utajua madhara yake.
Hapana, hizo hazina madhara.
 
muda mwingi traffic ni waonevu juzi wamenikama wamenipaga fine wanadai nimeweka spot light wakati ni vitaa vidogo vya urembo, hata ukisema uziwashe huwezi kuona mwanga wowote. wakati naongea na mkubwa wao kuwa wanachofanya sio aliyenikamata kaandika fine kaprint,
 
muda mwingi traffic ni waonevu juzi wamenikama wamenipaga fine wanadai nimeweka spot light wakati ni vitaa vidogo vya urembo, hata ukisema uziwashe huwezi kuona mwanga wowote. wakati naongea na mkubwa wao kuwa wanachofanya sio aliyenikamata kaandika fine kaprint,
 
upload_2017-1-21_12-16-7.jpeg
 
f876bd063bbce263b41ecd93ffe67505.jpg
ina maana kukamata wanachagua sasa Mimi wataniacha kweli.
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Sasa. Hizoo. Taa wakati. Zinakujaa. Bandalini. TBS walisibitishaa kuwa zina. Ubora. Na TRA. wakachukuwaa. Kodi. Sasa. Huyu. Mfanya. Biashara. Anae uzaa si. Washamuingizia. Hasara?? Basi. TRA wamludishie. Ile. Kodi. Aliolipaa msozaa bizaa alioilipia. Kodi. Imepingwa malufuku.
 
Msanii Ney wa Mitego amedai kuna nyimbo atakayoiachia hivi karibuni amabayo itaudhi watu wengi japo kuna baadhi itawafurahisha, nyimbo hiyo itakuwa na video kali ila hajasema ataifanyia wapi


Mm huwa naona huyu ney wa mitego kama msanii chiz fulani hivi, kwanza mlopokaji nk

Mkuu ni maelekezo toka juu ili zipatikane hela za kujenga viwanda,nilivyomuelewa kamanda taa zilizokuja na gari hazina Shida ila zile za kuongeza kwa kununua mtaa wa Lumumba ndo Shida,ila kwa sababu wanaojua wao na maelekezo toka juu zaidi wanafanya kila liwalo wa meet target

Hivi una akili timamu ww aliyetoa maelaekezo huko juu ni nani acha upumbafu wa kijinga ww mnatumika vibaya una uthibitisho wamepewa maelekezo toka juu wakusanye pesa ya kujenga viwanda?
 
Ufafanuzi ni muhimu, nadhani hata mimi yaweza nikuta mimi pia Escudo yangu imekuja na taa kama hizo anazoongelea mleta mada na huku njombe ukungu ndio wenyewe
Maana yake kama ni originary made from manufacturers hazina tatizo lakini za kuweka tu mtu anavyojisikia hapo ndiyo tatizo
 
Jana walinikamata kwa kosa hilo, nilichofanya leo nimeenda kwa fundi akazi-disconnect, hivyo hazifanyi tena kazi, je, bado ninavunja sheria kwa kutoziondoa japo hazifanyi tena kazi? Msaada tafadhali. (Sitaki kuziondoa maana zinapendezesha mno gari)
Chaaaa nawe... Hivi wakati wanakukamata walikuuliza zinawaka au laaa... Ondoa tu mkuu elfu 30 ni kubwa mno aisee...
 
Back
Top Bottom