Kamanda Mpinga tunaomba ufafanuzi

Kamanda Mpinga tunaomba ufafanuzi

Hawa traffic wameshindwa kazi wamebaki kudandia vitu ambavyo walitakiwa wamedhibiti tangu mwanzo. Sasa mara spotlight mara road saftey stickers. Magari mabovu kabisa ni ya traffic wenyewe na yana hizo stickers. Stickers zinauzwa na hao hao traffic bila ya gari kukaguliwa. Hii ndo tz bwana.
 
Kama wameanza sport light ,sishangai wakaja na mikanda ya kiunoni na kukagua hadi boxer tulizovaa maana tumeambiwa tutumie bidhaa za ndani,hadi 2020 maajabu yote ya dunia tutayaona!
 
Mm huwa naona huyu ney wa mitego kama msanii chiz fulani hivi, kwanza mlopokaji nk



Hivi una akili timamu ww aliyetoa maelaekezo huko juu ni nani acha upumbafu wa kijinga ww mnatumika vibaya una uthibitisho wamepewa maelekezo toka juu wakusanye pesa ya kujenga viwanda?

Wewe ni punguani sihitaji kubishana nawe
 
f876bd063bbce263b41ecd93ffe67505.jpg
ina maana kukamata wanachagua sasa Mimi wataniacha kweli.
It's too much
 
Mtoa mada huna haja ya kulalamika kama gari ilikuja na hizo taa, aliekuwa anaitumia hiyo gari yako ndio aliongeza hayo mataa, la kufanya ni kufuata maagizo ya jeshi la polisi tu.

Kusema ukweli kwa wanaosafiri usiku hasa barabara kubwa, pindi ukikutana na wajinga wenye haya mataa wakakupiga nayo ni lazima upaki, hata ukijifanya kumuwashia vi full light vyako ndio atakukomesha,
tena usiombe ukutane na ile milori ya kusomba mchanga au kokoto

Wanakera, kidogo tu ni nunue za mwanga mkali niongezee kwa ajili ya kuwakomesha maana wanakera sana.
 
Mkuu ni maelekezo toka juu ili zipatikane hela za kujenga viwanda,nilivyomuelewa kamanda taa zilizokuja na gari hazina Shida ila zile za kuongeza kwa kununua mtaa wa Lumumba ndo Shida,ila kwa sababu wanaojua wao na maelekezo toka juu zaidi wanafanya kila liwalo wa meet target
Unafikiri kwa kutumia Naniliuu?
 
Hivi inamaana huyu mtu akilala na kuamka vibaya, kisha akatoa tamko kwamba ni marufuku mtu kuendesha gari huku amemepakiza mpenzi wake kiti cha mbele kwa sababu ni hatari kwani maongezi ya kimahaba yanaondoa umakini na kuweza kusababisha ajali, tutakubali tu au kuna utaratibu maalum wa kutunga hizi sheria? Mwenye kujua anisaidie
 
Kwaio umeshindwa kutofautisha fog lights na sport lights. ambazo kimsingi zinaitwa bar lights?
 
Back
Top Bottom