Kamanda Mpinga tunaomba ufafanuzi

Kamanda Mpinga tunaomba ufafanuzi

Siku utakapoijua haki yako ndipo utakapojua kudeal na hao unaoita vijana wadogo.
Wengi nimewasaidia kupata japo nakala ya traffic act imewasaidia.
Endelea kuchangia serikali hata kwa kosa ambalo silo la kuchangia serikali.
Tafadhali naomba hiyo act mkuu
 
T
Jana walinikamata kwa kosa hilo, nilichofanya leo nimeenda kwa fundi akazi-disconnect, hivyo hazifanyi tena kazi, je, bado ninavunja sheria kwa kutoziondoa japo hazifanyi tena kazi? Msaada tafadhali. (Sitaki kuziondoa maana zinapendezesha mno gari)
TOA KABISAAA VIJISABABU VYA NAMNA HII HATUTAKI HATA KUVISIKIA; UNAPENDEZESHA GARI SI UPAMBE MAUA KAMA NI HIVO? TOA KAMA VIPI TUTAKUPA KIFURUSHI TU HAKUNA NAMNA
 
RAV4 taa zake ni original siyo man made.
Rav 4, na gari nyingne nyingi tuu huwa zinakuja na FOG LIGHT (taa special kwa ajili ya maeneo yenye ukungu), ambazo hazitakiwi ni SPOT LIGHT. sasa hapa hadi hao waandika fain inabidi waelimishwe..
maana ukimwambia mtu atoe fog light, maana yake utasababisha apate ajali akienda maeneo yenye ukungu, maana atakuwa haoni
 
Rav 4, na gari nyingne nyingi tuu huwa zinakuja na FOG LIGHT (taa special kwa ajili ya maeneo yenye ukungu), ambazo hazitakiwi ni SPOT LIGHT. sasa hapa hadi hao waandika fain inabidi waelimishwe..
maana ukimwambia mtu atoe fog light, maana yake utasababisha apate ajali akienda maeneo yenye ukungu, maana atakuwa haoni
Ni kweli kabisa mkuu
 
Fog light unatakiwa kufunika tu kwa kadiri ya maelekezo ya kamanda!
 
Tangazo ulishasikia na taa haziwaki si uzitoe sasa kama amri ya Kamanda Mpinga alivyoitoa.

Ukiendesha gari nite halafu ukapigwa Nazo usoni mkiwa mnapishana ndo utajua madhara yake.
Akipigwa nazo usoni atapasuka vibaya
 
Mbaya zaidi ukutane na traffic ambae Hana hata baiskeli ndo utajuta
 
Rav 4, na gari nyingne nyingi tuu huwa zinakuja na FOG LIGHT (taa special kwa ajili ya maeneo yenye ukungu), ambazo hazitakiwi ni SPOT LIGHT. sasa hapa hadi hao waandika fain inabidi waelimishwe..
maana ukimwambia mtu atoe fog light, maana yake utasababisha apate ajali akienda maeneo yenye ukungu, maana atakuwa haoni
Ambazo siyo man made?
Za Man Made zipoje?
 
Ameeleza vizuri hapo juu taa zake ni za ukungu sasa wewe unadandia bila kusoma,kuna tofauti katika hizi taarifa,so alizopiga magufuli mpinga ni zile za mwanga mkali kama za kwenda mbugani kuwinda
Issue yangu hapo kama haziwaki ameziacha za nini na tunathibitisha vipi kama ni za ukungu?

Kuonhoa
Ushaambiwa haziwaki, sasa unaongea utumbo gani.., kwanza utakuwa huna gari unatupigia kelele tu
Sina gari ni kweli ila kwa wewe mwenye gari spot lights zilizowekwa au zilizokuja na gari au hizo taa zako za kuwasha wakati wa ukungu huko ulaya na baadhi ya nchi za mabara mengine uzitoe kabisa na ukiwa Nazo utapigwa faini.

Ni maagizo ya Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani.

Wengi spot light zimeshatutesa sana wakati wa usiku high way ukiwashiwa na dreva mwenye mapungufu kiasi utasimama au kutoa nje ya barabarani kuogopa head to head collision
 
Rav 4, na gari nyingne nyingi tuu huwa zinakuja na FOG LIGHT (taa special kwa ajili ya maeneo yenye ukungu), ambazo hazitakiwi ni SPOT LIGHT. sasa hapa hadi hao waandika fain inabidi waelimishwe..
maana ukimwambia mtu atoe fog light, maana yake utasababisha apate ajali akienda maeneo yenye ukungu, maana atakuwa haoni
Na zile zisizokuwa na fog light tutapiga marufuku kutembelea maeneo ya ukungu.
 
Back
Top Bottom