Aisee..Kama una kibali cha kuwinda, toa kopi kuwa nayo kwenye gari, na hizo taa zishonee cover. Otherwise unatafuta ubaya
Hivi uwa kuna spotlights na sport lights eh?
GARI NYINGINE ZINA HIZO TAA TOKA ILIPOTOKA HUKO UGHAIBUNI. NA UTAGUNDUA USIKU USIPIZOWASHA MWANGA UNAKUWA MDOGO SANA KWA KUONA MBELE. UKWELI SIO MWANGA KAMA WA HIZO WALIZOUNGANISHA HAPA NCHINI. JE NI SAWA KUUTOZA FAINI? NADHANI MATRAFIKI WAANGALIE KWANZA KAMA TAA NI ZA KUUNGANISHWA HAPA NI KAMA HILI SWALA LA NGAO ZA KWENYE MAGARI
Hilo ndiyo kosa kubwa madereva wengi hufanya, inakuaje unakurupuka kutoa leseni wakati Traffic Act inaruhusu kabisa kuwasilisha leseni hiyo ndani ya saa 24, ndiyo maana wanawageuza watakavyo hata kama huna kosa.Kweli kabisa mkuu ila tatizo ni hawa watoto wa Mpinga, hawana nafasi ya kuja kuchungulia aina ya taa. Haswa wakiwa tiyari weshaishika leseni yako mkononi mwao. Watakuchefua mno ukiangalia safari yako ilivyo ya muhimu na wanakupotezea muda bure. Tumuombe Kamanda awaambie wabadilike waache kujifanya kuwa neno lao ndio mwisho
Walisemaje mkuuJana walitoa ufafanizi itv
Hilo ndiyo kosa kubwa madereva wengi hufanya, inakuaje unakurupuka kutoa leseni wakati Traffic Act inaruhusu kabisa kuwasilisha leseni hiyo ndani ya saa 24, ndiyo maana wanawageuza watakavyo hata kama huna kosa.
Hizo Mpinga anakula ng'ee.View attachment 461876
kama hizi eee??
RAV4 taa zake ni original siyo man made.
Siku utakapoijua haki yako ndipo utakapojua kudeal na hao unaoita vijana wadogo.Mkuu;
Mawazo yako mazuuri sana lakini sijui ka weye umewahi kusafiri siku za karibuni na gari yako. Kama ni kweli basi safari yako haikuwa ya haraka wala ulazima uendako.
Jaribu fikiri; Akusimamishe, akuweke pale, usote pale kwa muda wa zaidi ya saa nzima, huku leseni unayo mfukoni. Sijui, labda mimi nina kasoro kichwani kwani kitendo cha kusimamishwa pale na kijana mtoto tu naonaga ngumu kumesa.
Huwa natamani niondoke kwa nguvu nione watanifanya nini ila najirudi.
Siku utakapoijua gaki yako ndipo utakajua jua kudeal na hao unaoita vijana wadogo.
Wengi nimewasaidia kupata japo nakala ya traffic act imewasaidia.
Endelea kuchangia serikali hata kwa kosa ambalo silo la kuchangia serikali.
Kwa sasa naangalia AFCON baadaye nitakutumiaPlease naihitaji hiyo act na mm
Mkuu nilikosa kiswahili kizuri nikaona nijihami kwa kuandika kimalkia kidogo.Sio man made? Nadhani ulimaanisha sio after market
Mkuu nilikosa kiswahili kizuri nikaona nijihami kwa kuandika kimalkia kidogo.
Kwa sasa naangalia AFCON baadaye nitakutumia