Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,192
- 10,926
Kamanda mkuu wa majeshi ya Ukraine generali Valery Zaluzhny amesema nchi yake ina makubaliano maalum na Pentagon na kwamba wana mawasiliano ya masaa 24 juu ya namna vita vinavyoendelea,hata hivyo amekasirishwa sana na ahadi hewa za Marekani na washirika wa NATO.
kilichomkera zaidi na kutoa matusi kwa Pentagon ni kutokana na lawama kwamba mapigano ya kukomboa maeneo hayaendi vizuri kama yalivyotegemewa. Huku Akifoka Zaluzhyn akasema “p----d me off”.
Akaongeza kwa kurudia maneno ya raisi wake kwamba vita hivyo si mchezo na kwamba kila mita inayokombolewa basi ni kwa kumwagika damu nyingi sana..Mimi sitaki ndege 120 bali ni ndege chache tu za F16.
kama hatukupata risasi 100,000 za kuingiza kwenye mizinga basi watu 1000 watakufa.Akamalizia kwa kusema jeshi lake halina uwezo kabisa wa kupigana na nguvu kubwa ya jeshi la Urusi kutoka angani.
kilichomkera zaidi na kutoa matusi kwa Pentagon ni kutokana na lawama kwamba mapigano ya kukomboa maeneo hayaendi vizuri kama yalivyotegemewa. Huku Akifoka Zaluzhyn akasema “p----d me off”.
Akaongeza kwa kurudia maneno ya raisi wake kwamba vita hivyo si mchezo na kwamba kila mita inayokombolewa basi ni kwa kumwagika damu nyingi sana..Mimi sitaki ndege 120 bali ni ndege chache tu za F16.
kama hatukupata risasi 100,000 za kuingiza kwenye mizinga basi watu 1000 watakufa.Akamalizia kwa kusema jeshi lake halina uwezo kabisa wa kupigana na nguvu kubwa ya jeshi la Urusi kutoka angani.