Kamanda Mbowe anaunguruma now Bungeni

Kamanda Mbowe anaunguruma now Bungeni

huyu mwehu kaingia ndio mpuuzi kabisa ila sijui ccm wanamownaje kwamba ana akili...hivi CCM ndio imeamua kuwa na wawakili wa kigosi wa kijinga hivi..Shekifu
 
Du!nimekubali kweli huyu spika ni nuks,kamzimia Mbowe kwenye gia..
 
Mbowe hana huruma jamani? Anajua wazi kuwa maccm yanapumulia mashine halafu naye anakuja kuwagonga na nyundo nzito namna hii? Hao watu wana stress za kuweza kuwatoa roho kabisa hivyo wakati Mwingine ni kuwahurumia kidogo, bado tuna majonzi ya Komba sasa anataka na wengine nao wa rest in peace?
 
Huyu gamba anachokieleza ndio sababu au fikra za chama?Au ndio kawaida yao kufanya mizaha na kupiga porojo..
 
Huyu mgosi si aondolewe mbona anatia kichefuchefu ktk bunge..hajui hata kaanzia wapi anakwenda wapi,wala anchokiongea km vinajileza...Huyu mwehu sana hata km tuna..budget yetu mabilioni ya bure tukipewa tutakuwa na sababau gani ya kuyakataa wakati hata mika 20 ya bidii shida zetu nyingi hazitamalizwa kabisa.
 
kwani ni lazima haya maccm yamalize muda?Naona yanaongea tuu free style hayajui kinachotoka na hawana break...hadi muda uishe.
 
Hutoba ya kiongozi wa upinzani bungeni yote imewekwa tayari humu jf
 
Back
Top Bottom