hakuna chama chenye uwezo wa kuitoa CCM madarakani!!!
Tume haijapatiwa fedha za kuandaa uchaguzi.ajabu kuna magari ya kuwashawasha yameagizwa kwa ajili ya kuwekeza ktk mapambano
Lakini kuna wananchi wanaoweza wakishirikiana na UKAWA. In other words, Wananchi ndio watakaoitoa CCM madarakani na sio chama. Hilo kama hulifahamu basi JF sio mahali pako:msela:hakuna chama chenye uwezo wa kuitoa CCM madarakani!!!
TBC tunawata wasikate matangazo
Naambiwa mmeshatoa ahadi kwa wakezenu kuwa watakuwa wake wa mawaziri wakuuna ma first lady
Na sio muda mrefu kikwete pia atajiongezea. Weka hazina neno langu
Anaweza kuwa na luku ila alipo roho inamuuma si unajua hajui ficha hisia na roho yake mbaya?Na akiwa lazima awe na wenzie au wana ccm ili aweze kupoteza muda na kubadili mikao huku akiwakosoa Wapinzani...otherwise lile lisura lake limezidi kuwa baya na kubadili mikao tuu.Zito kwishaaaa,sasa tunaangalianae bunge kwenye Tv,na mambo yalivobana sijui hata kama ana Luku huyu,si ajabu anaangalia kupitia bar
Mbowe anatakiwa kujiandaa kisaikolojia kuendelea kuwa mpinzani na nchi haitawaka moto kamwe!
Hili bunge la mwisho tutashuhudia mengi sana spika sijui ana matatizo gani yanamsibu yana hasira balaa.
wanwake wana tabia mbaya sana kuingiza hisia binafsi na viburi vyao ktk kazi na pengine issue sensitive km hizi....na huyu ni Gamba tena u can imagine...ndio maana wanawake siku zote watakuwa watumwa sana.Hili bunge la mwisho tutashuhudia mengi sana spika sijui ana matatizo gani yanamsibu yana hasira balaa.
Msikilize halafu upime km ni yeye wa kujiandaa au ni maccm..pia uone keshajiandaa kisaikologia kuyapeleka magamba polisi..Mbowe anatakiwa kujiandaa kisaikolojia kuendelea kuwa mpinzani na nchi haitawaka moto kamwe!
Aje kamanda wa Anga...uwepo wake tuu Ayaoutoullah hadi uti wa mgongo unapata baridi...wanompenda,wanaomchukia na wasiojua hisia zao..wote wanapenda msikia,mwona na jua anafanya nini?anafikiri nini na atawakilisha nini?Mbowe anarudi baada ya Silinde.stay tuned