Kamanda Mbowe anaunguruma now Bungeni

Kamanda Mbowe anaunguruma now Bungeni

Akawashe moto huko kwao huyu Mr. Zero!!! Wanachochea machafuko alafu wao ndukiiiii south Africa.
 
Huyu Kenge anishukuru CCM au REA?CCM waliibia REA hela.
 
Limesifia sana wewe , halafu sasa analia maji hana......yanombana maji tena wakati Wenzao waondoka...hawa jamaa hawana akili
 
Toto la kimbulu hilo, liko bomba balaa, sijui kama pale Ufipa wamemuacha maana wale jamaa ni hatari sana
Mpuuzi kweli ulitaka aachwe?Ili nini ili mseme hana mvuto?Wewe kila mwanamke unamwonea wivu...ungechelewa zaliwa si ajabu ungemwonea wivu hadi mzazi wako.
 
Kasimama I..D..i..oti mwingine,hajui anchoelezea kinaiumbua ccm?Kwanini miaka yote hayo asiwaambie ccm ..Sasa anakuja waambia hadharani km vile nae ni outsider.Huyu ndie prof...msolla...Hajui anapigilia msumari baada ya sifa za kipuuzi kwa ccm.
 
Bunge hili inaönekana magamba yatabinywa kisawasawa,,
 
vyuo vilibidi kuongezeka na nijitihada ya Taasisi za dini,na binafsi....sijui kwanini CCM wanapenda kujisifu kwa vitu ambavyo ni lazima vije..Vyuo hata km wasingeleta watz wangefungua vya kibiashara,democrasia ilikuja kwa chinikizo la Mataifa, REA ni mipango ya wenzenu ktk nchi kadhaa....Ila mCCM inakuja na hizi km hoja.MCCM inaongea jumla jumla tuu huwezi jua hata inamwambia nani afanye nini na afanye kwa namna gani.
 
Huyu mbunge Budweli aliwahi kupata kashfa ya rushwa ya milioni moja
 
hawa wabunge wa ccm wananichanganya sana kwanza wanaunga mkono alafu wanalalamiiikaaa alafu wanaunga tena kwa asilimia100% na kila mtu lazima aseme tatizo la maji (TANZANIA NCHI YANGU)
 
Nimesikitika sana kusikia mbunge anasema tumejenga vyuo vikuu vingi toka 23 mpaka 40 na ushee! Hapo vyuo vya serikali vipo vingapi! Serikali msijisifu maana hivyo vyuo vingi ni private ada peke yake 2,400,000/=
 
hawa wabunge wa ccm wananichanganya sana kwanza wanaunga mkono alafu wanalalamiiikaaa alafu wanaunga tena kwa asilimia100% na kila mtu lazima aseme tatizo la maji (TANZANIA NCHI YANGU)
Mkuu utakuwa umevurugwa na wenzako kitambo halafu unawasingizia wabunge wa ccm wakati hawahusiki na kuchanganyikiwa kwako.
 
Back
Top Bottom