Kamanda Mbowe anaunguruma now Bungeni

Kamanda Mbowe anaunguruma now Bungeni

Rage jamani ni majanga! Aiseeeeeeeee, huyu mzee atakuwa anaelekea kuwa .,,,,,,,,,,,**
 
Anaanza kwa kuwashukuru watanzania na wanaukawa.Anawataka CCM ijiandae kisaikojia baada ya kushindwa kuongoza.Anaanza kuzungumzia BVR.Anazungumza changamoto zake.Anamvua nguo rais kwamba alitangaza vitambulisho vya utaifa kuwa vitatumika kupigia kura ajabu havijulikani vilifikia wapi. Anaonesha viashiria vya JK kujiongezea mda. Anaonyesha udhaifu wa wataalam wa uandikishaji.Tume haijasema itafanya usajili mpaka lini.Mkandarasi anadai hela yake.Tume ilipatiwa mashine pungufu na imepunguza siku za kuandisha na watu wengine hawajajiandikisha.Kama kuna jambo linaweza kuwasha moto nchi ni serikali kujiongozea mda.Anarejea ushauri wa upinzani kuhusu kura ya maoni,ambapo walikejeliwa na mambo yamewashinda

!!!!! Katiba ya Chadema ya mwaka 2004 kipengele 5.3.2 (c) inasomeka ifuatavyo kuhusu Muda wa Uongozi:
“Kiongozi aliyemaliza muda wa uongozi ana haki ya kugombea na kuchaguliwa tena mradi awe anatimiza masharti ya kuchaguliwa kuwa kiongozi kwa muda usiozidi vipindi viwili katika cheo kimoja kwa ngazi moja.”

Hata hivyo katiba ya chama ya mwaka 2006 kipengele cha 6.3.2 ( c) inayozungumzia muda wa uongozi inasoma:
“Kiongozi aliyemaliza muda wa ungozi ana haki ya kugombea na kuchaguliwa tena mradi awe anatimiza masharti ya kuchaguliwa kuwa kiongozi.” !!!!

Eti ndio hawa hawa wanajifanya leo ndio washauri kuhusu ukomo wa uongozi, Mbowe na Chadema yako mnadhani watu wote ni wajinga enheee. Hata kama kuna umuhimu wa kubadili chama tawala, kamwe kura yangu haiwezi kuangukia Chadema. Niwape kura mkatoe ukomo wa uongozi kwenye katiba ya nchi.

images
 
Mkuu utakuwa umevurugwa na wenzako kitambo halafu unawasingizia wabunge wa ccm wakati hawahusiki na kuchanganyikiwa kwako.

tatizo letu tunapenda ushabiki staki nikudharau kwani silipwi kutetea wachovu kufikiri kila ndio inamaanisha ndiyo.pole ila ata mtoto wa darasa la saba kama unamwambia aangalie bunge sidhani km hatakosoa wabunge .hongera katibu mtetezi unayekataa ukweli
 
wachovu hawa wa ccm wanatakiwa wawaeleze watanzania ukweli mapema
 
wengine hawajui kutumia compyuta

Huku kwetu Masasi-Mtwara, siyo lazima ujue compyuta, wale waliotoa 30,000/= kwa wahusika ndiyo walochaguliwa kufanya kazi maalumu ya kuandikisha wapiga kura. Shame On Ccm.
 
Haraka ya nini hata kama unalipwa na Mbowe kila post mpaka unatukana kwenye kuandika au upo viroba.

unavyolipwa wewe buku 7 unadhani kila mtu analipwa, lete email nikutumia salary slip yangu mandazi wewe
 
Back
Top Bottom