Si kwamba watakosa.ila watapunguza muda wao.Sasa kama Mbowe ataendelea na wale wengine wakakosa kuna tatizo.daaah hizi fitna
Duh!! kwa hicho ndicho kilichompeleka bungeni? Then atawaambia hao CCM kupinga budget? Tuna safari ndefu
Nkuruzinza ni sawa na Ayaoutoouuulah..na Sasa dhaifu kapat inspiration.Mbowe na Nkuruzinza wanatofauti gani wote wamejiongezea muda wa uongozi wamebadili katiba zao.
kwa hiyo???
hata mimi namzimia,na sio tv tu bali live.dada ni mswitiIla huyu Pauline Gekul ni mcute balaa.
Napenda awepo mjengoni next term
Wewe ndio mweka hazina?Au unaota wishes zako ukadhani ndio reality..Utakuwa na wingu ktk fikra zako siku zote utakuwa mixed.Jamaa amenunua nyumba Dubei na South Africa kupitia ruzuku za chadema
Sijawahi ona kichaa kimemshika kabisa hasira kede kede yaani kamkatisha kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani kakunja uso huku anatwete kama ninimama kaanza kichaa kaumia vidonge..Mama kapanic kwa wendawazimu.
Duh!! kwa hicho ndicho kilichompeleka bungeni? Then atawaambia hao CCM kupinga budget? Tuna safari ndefu
Wasubiri kuitwa wapinzani wa kudumuDuh!! kwa hicho ndicho kilichompeleka bungeni? Then atawaambia hao CCM kupinga budget? Tuna safari ndefu
Anamwambia Tundu Lisu wewe ndie unayemruhusu..Ndio shida za wanawake hata ktk maofisi..wanaweza hisia kila mahali, ndio maana hawatakaa wawe huru mbele ya wanaume.Sijawahi ona kichaa kimemshika kabisa hasira kede kede yaani kamkatisha kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani kakunja uso huku anatwete kama nini
Mbowe na Nkuruzinza wanatofauti gani wote wamejiongezea muda wa uongozi wamebadili katiba zao.
TBC tunawata wasikate matangazoanarudi