Kamanda Mbowe anaunguruma now Bungeni

Kamanda Mbowe anaunguruma now Bungeni

Ukiwa CCM tabu,unakosa mashiko.unapongeza dakika 2 unaonyesha kule jimboni ni tabu tupu
 
kuna mwana CCM yupo km Komba aliyeingia msituni...Anasifia CCM halafu anakuja taja kero za CCM zinazoanika ccm vibaya kuliko hizo sifa za kijnga...HAwawa kenge si ndio ndio walikuwa wanaisifia ccm sasa wanalia watu wao ni shida,maji hawana etc.
 
ndugu yangu alikua anaingiza nyimbo kwenye cm kwa kutumia compyuter nae kapata kibarua teh teh teh masaibu kweli kweli
 
ukawa tumaini langu...kila la kheri kamanda wangu mbowe..MUNGU AWAPE NGUVU
 
Tundu Lisu anaanza kwa kunukuu taarifa ya Dr.Kigwa kuwa huu ni mwaka wa mabadiliko
 
Tangu uhuru uchaguzi haujawahi kuahirishwa.anarejea katiba inasemaje.anawataka wachovu waeleze ukweli
 
Mbowe anatakiwa kujiandaa kisaikolojia kuendelea kuwa mpinzani na nchi haitawaka moto kamwe!

Mwenzake ameshaahidi mkewake kuwa ifikapo October atakuwa first lady...ikishindikana jamaa atakuwa tayari kuiingiza nchi kwenye civil war
 
Naona Mnadhimu anadanganya eti hakuna marehemu aliyepiga kura.jamani si tulishuhudia wote humu
 
CCM wanajribu poteza muda wasianikwe...mama hajui maana ya wachovu WACHOVU NI WATU KUCHOKA....
 
Huyu mama anapoorodhesha mabarabara aonyeshe pia deni la taifa ni kiasi gani.
 
Back
Top Bottom