Tume imekataa kuwaandikisha wapiga kura million mbina na laki nne na ushee sawa na mikoa mitano Njmbe,Katavi, Lindi Iringa
Vyama vya upinzani vina kila mwanya ila uwezo wao badohakuna chama chenye uwezo wa kuitoa CCM madarakani!!!
Haraka ya nini hata kama unalipwa na Mbowe kila post mpaka unatukana kwenye kuandika au upo viroba.Tume haijapatiwa fedha za kuandaa uchaguzi.ajabu **** magari ya kuwashawasha yameagizwa kwa ajili ya kuwekeza ktk mapambano
Crystal Clear Mbowe ndo alitakiwa kuwa PM ... Jamaa anakata nondo balaa ...
Mbowe na Nkuruzinza wanatofauti gani wote wamejiongezea muda wa uongozi wamebadili katiba zao.jamaa wanajiandaa km Nkuruzinza...Ccm wajinga kweli..Ndio maana JK hathubutu mpinga huyu jamaa.
shukurani ndeeefu mpk ina boa
mbowe nae ni mwizi, mbona hajapinga wabunge kulipwa posho, mafao makubwa