Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,042
- 134,328
- Thread starter
- #121
Haaah haah spika noma.Sasa kinachofuata hapa CCM ni kumjibu Lissu
Aje kamanda wa Anga...uwepo wake tuu Ayaoutoullah hadi uti wa mgongo unapata baridi...wanompenda,wanaomchukia na wasiojua hisia zao..wote wanapenda msikia,mwona na jua anafanya nini?anafikiri nini na atawakilisha nini?
CCM sasa ni kumjibu Lisu,wamepanikiLissu ni shidaaaaa
Huyu ni kamanda wa wanga mkuu.Kamanda wa Anga au kamanda wa Wanga?
CCM sasa ni kumjibu Lisu,wamepaniki
Mkuu changu yupi huyo au sugu?Huyu changu kasifia maji,umeme na barabara..sasa anarudi kuomba hayo hayo..
Sijui km shetani jehananum wanamwitaje Mungu wetu.Kamanda wa Anga au kamanda wa Wanga?
Unajua kujibizana na chizi unatakiwa kwanza ujiangalie wote mnaweza kuonekana machizi kama yeye.Wamepaniki, unajua dongo moja la lissu ni kubomoa kambi mia za ccm, lakn matusi ya CCM kumi yanaing'arisha CDM
km imebidi umwabudu mzungu ktk photoshop ili kumvalisha Nyerere miguo ya CCM..sasa nikusaidiaje?Mkuu changu yupi huyo au sugu?
Kwakuwa nyie ni wadau wa shetani muulize mwenyekiti wako atakuwa na majiu mazuri sana.Sijui km shetani jehananum wanamwitaje Mungu wetu.