Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

Acha kulubuni watu,!! Mimi nilikuepo kwenye mkutano na nimetokea itigi(manyoni magharibi) kumsikiliza rais wetu na hakuna mic iliyododoka bali mwisho wa kuhutubia alipewa mic akaikataa na wala si kudondosha,acheni kupotosha kimsingi watu tumejitokeza kwa wingi na manyoni awamu hii ni ya upinzani hakuna namna.

Upinzani upi wewe Manyoni majimbo yote ni ya CCM wala hakuna upinzani wa kusumbua. Manyoni magharibi Lupaa alikua ana nafasi ya kushinda kama angepitishwa Lwanji na kwa kweli mwaka 2010 alishinda ila walimchakachua na yeye pia aliuza ushindi ila mwaka huu mtu anayegombea naye hamuwezi hata kidogo.

Pili kwa taarifa yako huyo Lupaa ni mtu wa System nyie hamjui tu, mwaka 2010 kwa upande wa urais alikuwa anampigia kampeni Rais kikwete na ndo maana baada ya kushindwa ameteuliwa kama Katibu Tawala Wilaya (DAS-Mbulu) umeona wapi mtu akagombea kwa tiketi ya upinzani na akashindwa na kupewa cheo Serikalini?
 
Naona wanamabadiliko wanahitaji badiliko la chama sio kiongozi, maana kiongozi yeyote atakayeshinda atakuwa tofauti, lkn naona chama ndio hitaji lao. Hivyo leo hii hata CCM ingebadili jina na kuitwa RP wangesema hilo ndo badiliko wanalohitaji, hao ndo wanamabadiliko!
 
muwe wengi,muwe wachache ccm itashinda tu,very smooth victory

Ushindi wa ccm ni hakika..! Arusha Leo asubuhi ndege za kijeshi zilitokisa anga mpaka baadhi ya akina mama wa soko la relini wakasikika wakisema 'kama vita ndo iko hivi basi tutaichagua CCM itulindie amani yetu'. Watu wanataka Amani.
 
ulikua uamzi mzuri tu,sema legal system ikatuangusha...

vipi maamuzi ya lowasa kutaka tuitandike malawi
Hivi Malawi ndo wale walikuwa wanasema mambo ya mipaka ya nchi na wakasema sehemu kubwa ya ziwa Nyasa ni yao! Wewe ungekuwa waziri mkuu ungesemaje?:what:
 
LOWASSA ni shujaa yuko tayari kufa akipambana kulikomboa taifa lake mikononi mwa genge la mbwamwitu wanaojivika ngozi ya kondoo. Mabadilikooooo
 
Ushindi wa ccm ni hakika..! Arusha Leo asubuhi ndege za kijeshi zilitokisa anga mpaka baadhi ya akina mama wa soko la relini wakasikika wakisema 'kama vita ndo iko hivi basi tutaichagua CCM itulindie amani yetu'. Watu wanataka Amani.

ahahaha,tisheni,ila kura ukawa!
 
Watu tunachagua rais wa kutatua changomoto za wananchi wewe unaachagua rais wa maonyesho? Kama maonyesho ya sabasaba hayakutoshi hata ya nanenane yapo pia!

Unahubiri hbr za goli la mkono sio?
 
Kumbe ni wewe mmachame fisadi utatumika sana na mafisadi ila huwezi kutudanganya wadanganye wajinga wenzako.

Sio wamachame tu. Hata wagogo na wasukuma wata mchagua Lowassa. Matabaka haya jengi lolote katika hili la kuiondoa CCM. Tena mkileta mchezo CCM inaweza kuja kufutika kabisa.
 
Hamna namna nyingine zaidi ya kuwapiga chini chichiemu.
Wamekosa sera hawajielewi wanatukana watz ambao ilibidi wawape kura.
Poor ccm
 
magamba mnahangaika sana kutoa habar za uongo mwaka huu hamchomoki aisee
 
Leo mida ya mchana mgombea wa UKAWA Lowasa amejikongoja kuhutubia kwa Dakika 11 ila alianza kutetemeka hadi akaangusha Mic alijifanya mjanja kushika mwenyewe

Hiyi sio habari, jaribu Tena!
 
Sasa akiwa Amiri jeshi atawezà kusimama paredi mwendo wa pole na Wa haraka? Àpumzike tu, nyie mnao mhangaisha mna kesi ya kujibu kwa familia yake
 
Back
Top Bottom