Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

Leo mida ya mchana mgombea wa UKAWA Lowasa amejikongoja kuhutubia kwa Dakika 11 ila alianza kutetemeka hadi akaangusha Mic alijifanya mjanja kushika mwenyewe
I will vote for Lowassa to show the world that Tanzania is not for CCM only. God bless my country Tanzania.
 
C.C.M hatuwataki, zama zenu zimekwisha, mmeshatuibia vya kutosha, mmeshatudanganya vya kutosha, mmeshatuua wakina mwangosi, mmeshatutesa wakina ulimboka. Sasa yatosha kaeni pembeni mtafute kazi nyingine ya kufanya.
 
Leo mida ya mchana mgombea wa UKAWA Lowasa amejikongoja kuhutubia kwa Dakika 11 ila alianza kutetemeka hadi akaangusha Mic alijifanya mjanja kushika mwenyewe
hakika ugonjwa wa lowasa ni wa ajabu sana ! mgonjwa anaweza kuzunguka nchi nzima , tangu wakati wa ccm kuomba wadhamini hadi UKAWA bila kupumzika !
 
hawa si ndo walikatwa,wana maahasira,wengine waliachwa na system,sasa walitaraji lowasa hatakatwa ili akishinda warudi kwenye system,sasa alipokatwa wakamfaata ukawa...
hawakuwa wafuasi wa chama,bali wa mtu na hii inaonekana wako kimaslahi tu.
mtu kama laki si pesa,ama msalani,wote hawa walikuwa ccm kimaslahi na wanahasira ya kutupwa nje ya system,ndo maana wameanzisha kauli mbiu eti hata akiwa mahututi watamchagua....



bavicha nao bila kujua wamenasa na wanaimba wimbo huo huo........

Mkuu,, jaribuni kumpigia kampeni magufuli apate hata nafasi ya pili,,asije kushindwa na mama Anna wa ACT Wazalendo.
 
Leo mida ya mchana mgombea wa UKAWA Lowasa amejikongoja kuhutubia kwa Dakika 11 ila alianza kutetemeka hadi akaangusha Mic alijifanya mjanja kushika mwenyewe

Asante mkuu kwa kufika kwenye mkutano kumuona rais..sasa ninaomba kura yako kwa rais wetu Lowasa..kama anatetemeka namna hiyo hii inakuwa ni Kama Mungu ameamua..watanzania tulivyonyanyaswa na Ccm ameamua kunyanyua jiwe litutetee sasa usikose huu muujiza kura yako itakufanya usijutie kwa kuwa umeona kwa macho...Mungu akubariki sana nguvu hiyo hiyo iliyokufanya ukaacha shughulizako kwenda kumuona mtu anayetetemeka akunyanyue siku ya kupiga kura kura yako inaweza kumponya binadamu mwenzako...
 
Leo mida ya mchana mgombea wa UKAWA Lowasa amejikongoja kuhutubia kwa Dakika 11 ila alianza kutetemeka hadi akaangusha Mic alijifanya mjanja kushika mwenyewe

Acha kulubuni watu,!! Mimi nilikuepo kwenye mkutano na nimetokea itigi(manyoni magharibi) kumsikiliza rais wetu na hakuna mic iliyododoka bali mwisho wa kuhutubia alipewa mic akaikataa na wala si kudondosha,acheni kupotosha kimsingi watu tumejitokeza kwa wingi na manyoni awamu hii ni ya upinzani hakuna namna.
 
Lowassa oyeeee. ...time for change like it or not, we have made up our mind no turning back. ....
 
lakini mkuu tumia logic angalau kidogo,huyu mtu anaumwa,anatakiwa mapumziko,mi nashauri uchaguwe magufuli,,,,,,achana mambo ya kishabiki bana

Kweli tuachane na mambo ya kishabiki, Magufuli hafai kuwa rais ana maamuzi ya kukurupuka mno! Mfano mzuri samaki wa Magufuli!
 
Mkuu,, jaribuni kumpigia kampeni magufuli apate hata nafasi ya pili,,asije kushindwa na mama Anna wa ACT Wazalendo.

magufuli haitaji kupigiwa kampeni,atapita...


ila mimi ni cuf,ikitokea bahati mbaya lowasa ashinde kwangu sawa tu,kwani baada ya mda Duni ndo atamata madaraka ya urais iwapo rais anakuwa hawezi ...
win win situation
 
Maneno nyomi na mafurıko yanatumıka vıbaya.Population ya Manispaa nzima ya Singida ni sawa na population ya kata ya Bunju.Watu wanaojaa kwenye nikutano ya ubunge kwa mdee ndo yanaitwa mafuriko Sınginda.Alafu elewenı watu wanaenda kushangaa mıjizi Lowasa na Sumaye!
 
Kweli tuachane na mambo ya kishabiki, Magufuli hafai kuwa rais ana maamuzi ya kukurupuka mno! Mfano mzuri samaki wa Magufuli!

ulikua uamzi mzuri tu,sema legal system ikatuangusha...

vipi maamuzi ya lowasa kutaka tuitandike malawi
 
Itabid tuseme msemo mmoja wa marekani ** Haijalishi Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua Obama Kuuonyesha Ulimwengu Kuwa Marekani Ni ya Kila Mtu.*** na sisi tunasema*** Haijalish Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua LOWASA Kutoka Kuuonyesha Ulimwengu Kuwa Tanzania Siyo ya ccm Pekee. Tuma ujumbe huu kwa wadau wasiopungua hamsini ili kuleta mabadiliko ya kweli. Lowasa oyeeeeee. Samahani kama utakwazika Lkn Tunaonesha Uzalendo Kwa Taifa Letu LA miaka 54 ya Uhuru likipitwa Na Kenya iliyochelewa kupata Uhuru kimiundo mbinu, elimu, utalii, kilimo, Katiba Mpya, Na hata Rwanda iliyotoka vitani inatupita sisi tuliojaliwa rasilimali adimu duniani.
Watu tunachagua rais wa kutatua changomoto za wananchi wewe unaachagua rais wa maonyesho? Kama maonyesho ya sabasaba hayakutoshi hata ya nanenane yapo pia!
 
Itabid tuseme msemo mmoja wa marekani ** Haijalishi Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua Obama Kuuonyesha Ulimwengu Kuwa Marekani Ni ya Kila Mtu.*** na sisi tunasema*** Haijalish Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua LOWASA Kutoka UKAWA Kuuonyesha Ulimwengu Kuwa Tanzania Siyo ya ccm Pekee. Tuma ujumbe huu kwa wadau .,wasiopungua hamsini ili kuleta mabadiliko ya kweli. Lowasa oyeeeeee. Samahani kama utakwazika Lkn Tunaonesha Uzalendo Kwa Taifa Letu LA miaka 54 ya Uhuru likipitwa Na Kenya iliyochelewa kupata Uhuru kimiundo mbinu, elimu, ,..utalii, kilimo, Katiba Mpya, Na hata Rwanda iliyotoka vitani inatupita sisi tuliojaliwa rasilimali adimu duniani.
Tumia akili
 
Back
Top Bottom