Jaman yashafika huko; Nakumbuka wakati TENDWA amemshauri Lema kuomba msamaa watu tulimponda sana humu ndani; na kama haitoshi akaibuka bwana mmoja ambaye pia ni Kiongozi wa wameru pande zile na kusema hakuna Tamko lolote lililotoka labda ni mtu mmoja tu yeye kama yeye kaamua kufunguka na huo uzushi wake ila tu wazee hawakupenda kauli za Mh Lema alizozitoa wakat wa msiba wa Mh Sumari; sasa yamefikaje ya kuandaa PLATOON YA ULINZI hivi hamuoni kama tunaandaa mazingira ya kuraruana sime?
Haya yote ni matunda ya uchochezi wa Tendwa